- Thread starter
- #101
Hahahhaha.haya bana mr,kwa kwel kuna wengine wa aina yangu ni wasindikizajiHayo ndiyo maisha niliyokulia kwangu naona ni gharama hafifu.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Hahahhaha.haya bana mr,kwa kwel kuna wengine wa aina yangu ni wasindikizajiHayo ndiyo maisha niliyokulia kwangu naona ni gharama hafifu.
Licha ya hayo, unajua kutumia shampoo/wengine wanatumia sabuni na brush kusafishia nywele au mafuta mazuri kwa ajili ya nywele kunasidia ngozi inayostawisha nywele, mizizi ya nywele na nywele zenyewe kuwa vizuri.Hahahhaha.haya bana mr,kwa kwel kuna wengine wa aina yangu ni wasindikizaji
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tupo pamoja mkuuLicha ya hayo, unajua kutumia shampoo/wengine wanatumia sabuni na brush kusafishia nywele au mafuta mazuri kwa ajili ya nywele kunasidia ngozi inayostawisha nywele, mizizi ya nywele na nywele zenyewe kuwa vizuri.
Ahsante mkuu kwa nyongezaKuna mwenzenu A1 Bentley anapaka mpaka kucha rangi, katoboa karibu na jicho anavaa kipini. Rasta zake kazitia rangi ya Gold. Wanaume wa siku hizi.
Wale wanaovaa vikuku na kutoboa pia usiwasahau pia
Hahaha.sawa sawa mkuu..endelea kudata tuuKuweka afro sio mbaya. Nilikuaga na mapenzi Sana na waweka afro. Yani nikiona afro Kama LA masanja lile nadata
HhahahahahaaaaaKuna hali fulani ikikufika unakua unachukia kila kitu bila sababu za msingi.
Utachukia wanaokula chips, utachukia wanaokula ugali, utachukia wanaofuga nywele, utachukia wenye vipara na kadhalika, na kadhalika.
Wasioelewa watakushambulia, ila wanaoelewa watakuhurumia!
Haya, nenda ukanyoe kipilipili chako maisha yaendelee!
Hahaha kwa kwel kazi ipo mkuu.Sasa kama una upaa/uwalaza unafikiri utafaa ukifuga nywele?
Hahahha nisamehe mkuu na kipilipili changu tupo pamoja mkuuKuna hali fulani ikikufika unakua unachukia kila kitu bila sababu za msingi.
Utachukia wanaokula chips, utachukia wanaokula ugali, utachukia wanaofuga nywele, utachukia wenye vipara na kadhalika, na kadhalika.
Wasioelewa watakushambulia, ila wanaoelewa watakuhurumia!
Haya, nenda ukanyoe kipilipili chako maisha yaendelee!
Hahaha.mkuu nishapambana nayo mengi sana ila ujumbe umefikaMkuu umejiandaa kwa mapovu kama yote!?
Haina shida mkuu, najua tunafurahisha genge tu. Nothing personal.Hahahha nisamehe mkuu na kipilipili changu tupo pamoja mkuu
yap mkuu.hamna haja ya kununa ilihali inahitajika mda wote tuwe na furaha.Haina shida mkuu, najua tunafurahisha genge tu. Nothing personal.
Sawa mkuu!yap mkuu.hamna haja ya kununa ilihali inahitajika mda wote tuwe na furaha.
tupo pamoja mkuu
okSawa mkuu!
Tupo pamoja mkuu,endelea kuunga mkono mkuuSawa mkuu,na mimi pia nakuunga mkono kwa hoja
Akili ni nywele wewe. Endelea kutoa akili kichwani kwakoNimeamua kuleta thread hii mbele yenu kwa faida za wanajamii wa humu ndani na wengine wa nje.
KWAMBA
mwanaume kupoteza muda mwingi wa kufuga kucha na minywele kibao ambayo hayana faida yoyote wala kipato chochote ni ukosefu wa kazi tuu.
Nimeleta uzi huu kwa nia ya makusudi kabisa ili utoe fundisho kwa wanajukwaa wa aina hii.
Si minywele tuu wala kucha bado vipo vingi unaweza kuongezea vinavyokukera kama wewe mwanajukwaa ambavyo vitasaidia wengi humu wawe kama wanaume kamili
Mwanaume kulala uchi wa mnyama ni upumbavu uliotukuka - JamiiForums
Off