Mwanaume kufuga kucha na minywele ni ukosefu wa kazi

Kuna mwenzenu A1 Bentley anapaka mpaka kucha rangi, katoboa karibu na jicho anavaa kipini. Rasta zake kazitia rangi ya Gold. Wanaume wa siku hizi.
Wale wanaovaa vikuku na kutoboa pia usiwasahau pia
 
Kuna hali fulani ikikufika unakua unachukia kila kitu bila sababu za msingi.

Utachukia wanaokula chips, utachukia wanaokula ugali, utachukia wanaofuga nywele, utachukia wenye vipara na kadhalika, na kadhalika.

Wasioelewa watakushambulia, ila wanaoelewa watakuhurumia!

Haya, nenda ukanyoe kipilipili chako maisha yaendelee!
 
Kuna mwenzenu A1 Bentley anapaka mpaka kucha rangi, katoboa karibu na jicho anavaa kipini. Rasta zake kazitia rangi ya Gold. Wanaume wa siku hizi.
Wale wanaovaa vikuku na kutoboa pia usiwasahau pia
Ahsante mkuu kwa nyongeza
 
Kuna hali fulani ikikufika unakua unachukia kila kitu bila sababu za msingi.

Utachukia wanaokula chips, utachukia wanaokula ugali, utachukia wanaofuga nywele, utachukia wenye vipara na kadhalika, na kadhalika.

Wasioelewa watakushambulia, ila wanaoelewa watakuhurumia!

Haya, nenda ukanyoe kipilipili chako maisha yaendelee!
Hhahahahahaaaaa
 
Kuna hali fulani ikikufika unakua unachukia kila kitu bila sababu za msingi.

Utachukia wanaokula chips, utachukia wanaokula ugali, utachukia wanaofuga nywele, utachukia wenye vipara na kadhalika, na kadhalika.

Wasioelewa watakushambulia, ila wanaoelewa watakuhurumia!

Haya, nenda ukanyoe kipilipili chako maisha yaendelee!
Hahahha nisamehe mkuu na kipilipili changu tupo pamoja mkuu
 
Nimeamua kuleta thread hii mbele yenu kwa faida za wanajamii wa humu ndani na wengine wa nje.


KWAMBA
mwanaume kupoteza muda mwingi wa kufuga kucha na minywele kibao ambayo hayana faida yoyote wala kipato chochote ni ukosefu wa kazi tuu.

Nimeleta uzi huu kwa nia ya makusudi kabisa ili utoe fundisho kwa wanajukwaa wa aina hii.


Si minywele tuu wala kucha bado vipo vingi unaweza kuongezea vinavyokukera kama wewe mwanajukwaa ambavyo vitasaidia wengi humu wawe kama wanaume kamili


Mwanaume kulala uchi wa mnyama ni upumbavu uliotukuka - JamiiForums

Off
Akili ni nywele wewe. Endelea kutoa akili kichwani kwako
 
Back
Top Bottom