Hi, nasikia kuna uchawi ambao mwanaume ukifanyiwa, hautapata demu wala mke, hata kama ww mwanaume ni handsome na una hela, utaishia kuponea kwa malaya wanaojiuza ili kujipooza kingono..
Nasikia huo uchawi unakufunga, utakataliwa kingono na kila mwanamke unaemtongoza, hakuna mwanamke atakubali kukuvulia chupi hata kama ww ni handsome na una hela.. Utatongoza, utaishia kuzungushwa wee, utapigwa kalenda na kuombwa hela hadi mahusiano yavunjike...
Waliowahi ku-experience hili swala, na wenye ujuzi nalo, waje hapa kufunguka.
Nasikia huo uchawi unakufunga, utakataliwa kingono na kila mwanamke unaemtongoza, hakuna mwanamke atakubali kukuvulia chupi hata kama ww ni handsome na una hela.. Utatongoza, utaishia kuzungushwa wee, utapigwa kalenda na kuombwa hela hadi mahusiano yavunjike...
Waliowahi ku-experience hili swala, na wenye ujuzi nalo, waje hapa kufunguka.