Dah!wanaume bwana!kumbe mkioa na majina matamu na matunzo ndio vinaisha? ngoja nickilizie kwanza kabla yakuingia humo!
mpango wa kando muhimu wewe ni kwann hata losheni uombe
kwani hufanyi kazi au biashara? zama za kupokea zishwapitwa na wakati
ndio maana tunawaachia buku kama hivi....jibadilini mnajisahau sana
Aslay - Nakusemea. - YouTube
Dah!wanaume bwana!kumbe mkioa na majina matamu na matunzo ndio vinaisha? ngoja nickilizie kwanza kabla yakuingia humo!