Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 4,621
- 1,706
Hii tabia ya kuongea kwa kubana pua kwa kwa Wanawake/Mabinti ni kitu cha kawaida japo siyo wote.
Lakiki tatizo linakuja pale mwanaume anapoongea kwa kubana pua, binafsi huwa hii kitu hainiingii hakilini.
Au labda akina dada/wanawake wanawapenda zaidi wanaume wanaobana pua?
Lakiki tatizo linakuja pale mwanaume anapoongea kwa kubana pua, binafsi huwa hii kitu hainiingii hakilini.
Au labda akina dada/wanawake wanawapenda zaidi wanaume wanaobana pua?