- Thread starter
- #201
Kuwa straight forward sema unataka mwanaume wa kukutoa genye tu ukitaka ndoa tena unajitafutia maumivu mengine kwako wewe na kwa watoto wako, kwa ushauri wangu tafuta kijana ambaye anajitambua awe anakuburudisha taratibu in a descret way hao kuanzia 40 wenyewe utakuta wanamatatizo Kama wewe na pia kwa umri huo nadhani kuna namna utahitaji uhuru kucontrol maisha yako
wala sina genye