Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 6,806
- 12,564
Addiction Ni kitu ambacho kamwe hakiwezi epukika katika Karne hii ya 21.In one way or the lazima kila mwanadamu especially wanaume atakuwa addicted na mojawapo ya vitu vifuatavyo;
1.Betting & gambling
2.Keyboard warrior( internet)
3.Masterbation( punyeto & kujichua)
4.Sigara/ bangi/shisha
5.Pombe
6.Ngono
Binafsi nipo addicted Sana na kubet mikeka,Yaani kwa wiki ninaweza bet Mara 5,sema kushinda hela yenywewe ndio kazi😂
Afu pia nipo addicted na internet,Yaani Mimi ni keyboard warrior hatari Sana.Ni Bora nikose mengine yote Ila nisikose hela ya kuunga bundle kwenye simu ili nibrowse.
Kwa Kama wewe Ni njemba kamili afu haupo addicted na mojawapo ya vitu nilivyovitaja hapo juu Basi jiongeze haraka usikae kizembe bana.Tafuta kitu Cha kuwa addicted nacho bana😂
Kwa ambayo tayari mko addicted chama lako no gani hapo juu?
1.Betting & gambling
2.Keyboard warrior( internet)
3.Masterbation( punyeto & kujichua)
4.Sigara/ bangi/shisha
5.Pombe
6.Ngono
Binafsi nipo addicted Sana na kubet mikeka,Yaani kwa wiki ninaweza bet Mara 5,sema kushinda hela yenywewe ndio kazi😂
Afu pia nipo addicted na internet,Yaani Mimi ni keyboard warrior hatari Sana.Ni Bora nikose mengine yote Ila nisikose hela ya kuunga bundle kwenye simu ili nibrowse.
Kwa Kama wewe Ni njemba kamili afu haupo addicted na mojawapo ya vitu nilivyovitaja hapo juu Basi jiongeze haraka usikae kizembe bana.Tafuta kitu Cha kuwa addicted nacho bana😂
Kwa ambayo tayari mko addicted chama lako no gani hapo juu?