Mwanaume: Kama umeoa usifanye haya ili kupunguza risk za kupigiwa

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Dec 6, 2016
3,030
3,321
Habari wakuu...

Tendency ya wanaume kupigiwa wake zao imezidi sana hivyo basi, tujaribu kusema cases zinazosababisha kupigiwa mkeo...

1. Usiajiri shamba boy

2. Usimpige mkeo

3. Usiruhusu mkeo awe na boda wake

4. Usiache kupiga show ya maana

5. Usiruhusu mkeo aende kwenye marathons

Na mengine mengi ongezea
 
Hayo yooote hata usipoayafanya kwa 110 percentage kama wa kugongwa atagongwa tu,muhimu tafuta hela zitakupunguzia stress ukisikia habari mbaya inayomuhusu mkeo.

Mimi huwa naamini kuwa na shilingi hata kama ni ya kutosha kula na kuweza kubadilisha mazingira ni kinga imara sana kwa akili ya mwanaume,so tu-focus kwenye hilo.
 
Hayo yooote hata usipoayafanya kwa 110 percentage kama wa kugongwa atagongwa tu,muhimu tafuta hela zitakupunguzia stress ukisikia habari mbaya inayomuhusu mkeo.

Mimi huwa naamini kuwa na shilingi hata kama ni ya kutosha kula na kuweza kubadilisha mazingira ni kinga imara sana kwa akili ya mwanaume,so tu-focus kwenye hilo.
Hela tunasaka na risk ya kupigiwa tunapunguza
 

Similar Discussions

15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom