Mwanaume kama huna hela huwezi dumu na mwanamke

Yaani sio nawadharau ila niukweli.

Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao .

Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu.

Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa maisha haya magumu atasema wewe.

Akifikiria matunzo na starehe basi anaambia asikuone tena .

Kila siku utaanza upya kutafuta demu na hawadumu kisa wewe ni mgegedo tu huna cha ziada.

POLENII ILA HELA LAZIMA UWE NAYO ILI UPATE CHA KUMTUNZIA KITU KIZURI CHA HITAJI MATUNZO PENDA MSIPENDE
Weee!!! katoto kazuri usijidanganye!! hata km huna hela ipo mijimama mijane ina watotot wazuriii!!1 unakwenda kulamba wotee!! tena unaambiwaa ''wasuze kidogo baba wapate akili hawa ila usiniachee! baby wangu!!''

hakuna taabu huko masaki mbezi!! wana hela shida zao kirungu tu baaasi!! uswahilini huko ndo shida lkn kule Masaki, kula papuchi mpaka za kuinukia!! halfu safiii mara mnaogelea watoto wazuriii wamerudi likizo nawafundisha kuogelea!! kuna tatizo gani??

Huko unga limited mademu hawana hela hawana leseni hawajui kuendsha magari!! hawaongei english afadhali hata Usariver wana hela! tena wanakupa na michongo ya maana na magari unaendesha!!

Kidume ukijua kusimamia tu na kupiga katelero kiufundi baasssi Ulaya hiyooo hapo mlangoni
 
Weee!!! katoto kazuri usijidanganye!! hata km huna hela ipo mijimama mijane ina watotot wazuriii!!1 unakwenda kulamba wotee!! tena unaambiwaa ''wasuze kidogo baba wapate akili hawa ila usiniachee! baby wangu!!''

hakuna taabu huko masaki mbezi!! wana hela shida zao kirungu tu baaasi!! uswahilini huko ndo shida lkn kule Masaki, kula papuchi mpaka za kuinukia!! halfu safiii mara mnaogelea watoto wazuriii wamerudi likizo nawafundisha kuogelea!! kuna tatizo gani??

Huko unga limited mademu hawana hela hawana leseni hawajui kuendsha magari!! hawaongei english afadhali hata Usariver wana hela! tena wanakupa na michongo ya maana na magari unaendesha!!

Kidume ukijua kusimamia tu na kupiga katelero kiufundi baasssi Ulaya hiyooo hapo mlangoni
Je afya zao?
 
Je afya zao?
Zina meremeta!! yaani ujana una mambo ni usisikie km haya ja kukuta basi shukuru MUNGU tu!!

Katoto kazuri ngoja nikupe ka story kangu kaliko nikutaga Mwaka flani hapo nyuma, nilimpataga Mdada mmoja hivi Mzuri anaitwa Esta!! huyo bana nilikuwaga sina kitu kabisaa mfukoni tena maisha yangu yalikuwa ya kubahatisha shida kidogo,

Hata hela ya kumpa tu akapate Ped dukani sina achilia mbali ya kwenda kumgonga nilikuwa sina kabisaa, lakini nampenda sana, sitaki kuachia nafasi hiyo!! na yeye ananipenda!! sasa je itakuwaje na mfuko ndo huu??!!

kiukweli nilikopa kiujanja kutoka kwa rafiki yangu hela taslimu kabisaa!

Lengo langu nigonge tu mara moja nisepe Karoho kamtulie! Manake mtoto amekolea mpaka anaulizia vipi leo una nafasi tuchomoke??? ....Daa!! ukipiga hesabu huna hata chapaa!! kwanza una njaa achilia mbali pesa!!

hapo kidume kiroho cPwaaa! hata km ni wewe utafanyaje sasa?

sikuweza kumgharimia baasi!! aridhike na roho yake mtoto wa watu!! hata siku ya kwenda kugonga nilitembea kwa miguu!! umbali kidogo!! sikuwa na Nauli nilijua nikipunguza hapa ntakosa hela ya kumpa yeye!!

Na pia lishe ya asubuhi tukiamka atakuwa na njaa! inabidi agonge mazagazaga ya kutosha na nauli ya kumrudisha kwao mie najua jinsi ya kuzuga ila nitatembea kwa mguu kurudi Maskani!!

So siku hiyo ya kula mbunye niliondoka mapema tu mida ya saa nne asubuhi, ili niwahi vyumba nisije chelewa wahudumu wakanambia vyumba vimejaa!! basi bwana.... nikafika sehemu hivi nikagonga sana Mihogo ya kukaanga na kachumbari pilipili bei poa tu!

Hapo sasa nika shiba vyema tu!
 
Yaani sio nawadharau ila niukweli.

Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao .

Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu.

Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa maisha haya magumu atasema wewe.

Akifikiria matunzo na starehe basi anaambia asikuone tena .

Kila siku utaanza upya kutafuta demu na hawadumu kisa wewe ni mgegedo tu huna cha ziada.

POLENII ILA HELA LAZIMA UWE NAYO ILI UPATE CHA KUMTUNZIA KITU KIZURI CHA HITAJI MATUNZO PENDA MSIPENDE
Yani hivi viumbe ni vya kipekee sana with my experience nishatoa huduma ndani ya miezi 7 over 10M na bado hajaeleweka sasa alikuwa anataka nini jibu analo yeye na jinsia yenu, in short ni watu wa ovyo sana when it comes kujua mnachotaka mnakuwa kama watoto wadogo ukipita naye dukani hajui anachotaka anataka analilia kila kitu.
MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI, VIJANA TUJENGE TAIFA.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
kwani Pesa zenyewe nyingi basi ......elfu 40 tu unawala hadi matako. kwa hiyo wewe kama mwanaume jitahidi ujiwekee kibajeti cha kuwala tu na sio kuwafuga kwa sababu Kaja kipesa Zaid kwako hakikisha unamtumia kipesa Pesa na Kila mwezi unabadirisha mboga nyingine kadri matamanio yako yatakavyo taka.....
 
Yani hivi viumbe ni vya kipekee sana with my experience nishatoa huduma ndani ya miezi 7 over 10M na bado hajaeleweka sasa alikuwa anataka nini jibu analo yeye na jinsia yenu, in short ni watu wa ovyo sana when it comes kujua mnachotaka mnakuwa kama watoto wadogo ukipita naye dukani hajui anachotaka anataka analilia kila kitu.
MAPENZI NI UGONJWA WA AKILI, VIJANA TUJENGE TAIFA.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Naomba 50ML niwe mchepuko wako anayeeleweka
 
Zina meremeta!! yaani ujana una mambo ni usisikie km haya ja kukuta basi shukuru MUNGU tu!!

Katoto kazuri ngoja nikupe ka story kangu kaliko nikutaga Mwaka flani hapo nyuma, nilimpataga Mdada mmoja hivi Mzuri anaitwa Esta!! huyo bana nilikuwaga sina kitu kabisaa mfukoni tena maisha yangu yalikuwa ya kubahatisha shida kidogo,

Hata hela ya kumpa tu akapate Ped dukani sina achilia mbali ya kwenda kumgonga nilikuwa sina kabisaa, lakini nampenda sana, sitaki kuachia nafasi hiyo!! na yeye ananipenda!! sasa je itakuwaje na mfuko ndo huu??!!

kiukweli nilikopa kiujanja kutoka kwa rafiki yangu hela taslimu kabisaa!

Lengo langu nigonge tu mara moja nisepe Karoho kamtulie! Manake mtoto amekolea mpaka anaulizia vipi leo una nafasi tuchomoke??? ....Daa!! ukipiga hesabu huna hata chapaa!! kwanza una njaa achilia mbali pesa!!

hapo kidume kiroho cPwaaa! hata km ni wewe utafanyaje sasa?

sikuweza kumgharimia baasi!! aridhike na roho yake mtoto wa watu!! hata siku ya kwenda kugonga nilitembea kwa miguu!! umbali kidogo!! sikuwa na Nauli nilijua nikipunguza hapa ntakosa hela ya kumpa yeye!!

Na pia lishe ya asubuhi tukiamka atakuwa na njaa! inabidi agonge mazagazaga ya kutosha na nauli ya kumrudisha kwao mie najua jinsi ya kuzuga ila nitatembea kwa mguu kurudi Maskani!!

So siku hiyo ya kula mbunye niliondoka mapema tu mida ya saa nne asubuhi, ili niwahi vyumba nisije chelewa wahudumu wakanambia vyumba vimejaa!! basi bwana.... nikafika sehemu hivi nikagonga sana Mihogo ya kukaanga na kachumbari pilipili bei poa tu!

Hapo sasa nika shiba vyema tu!
Ila usije rudia mke mwema hutoka kwa bwana usijitese kisa mwanadamu.
 
Yaani sio nawadharau ila niukweli.

Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao .

Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu.

Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa maisha haya magumu atasema wewe.

Akifikiria matunzo na starehe basi anaambia asikuone tena .

Kila siku utaanza upya kutafuta demu na hawadumu kisa wewe ni mgegedo tu huna cha ziada.

POLENII ILA HELA LAZIMA UWE NAYO ILI UPATE CHA KUMTUNZIA KITU KIZURI CHA HITAJI MATUNZO PENDA MSIPENDE
Kuwa na hela bila nguvu ya kiume nisawa na kula kachumbari bila chumvi
 
Ila usije rudia mke mwema hutoka kwa bwana usijitese kisa mwanadamu.
Hapo nakupinga kabisa katoto!! yaani kuna watu, wana/wali -jitoa kwa ajili yangu katika hali ngumu mnoo!! hata wazazi wangu wasinge mpaka nikatoa chozi. sasa kwa nini nisijitese kwa wengine??? hapana haloo!! nitajitoa tu wacha wanilize ila watanikumbuka!!

ukijitoa saaana, hata ukilipwa ubaya potezea songa mbele!! ni akiba hiyo!! yupo mtu au watu wataziba hilo pengo one day utasahau!! .... Jitoe tu!! hasa watu wenye Rangi ya kahawia na nyeupe jamani wana roho nzuri sana, nakupa mfano mitatu unayoweza kuijua kirahisi,

Mandela, Mwinyi, Kenyatta mdogo na mkubwa e bwanae, JK Kikikwete na wanae yaani pilau kwenye mfungo mnakula kwa heshima zote, Martin Luther King jr Foun.. mpaka leo anasaidia sana weusi wanaoenda kusoma huko,

Winnie Medikizela na wanae, Ukionana nao hawa unashida ni msaada tosha nakwambia utalia kwa wema wao! Nyerere weee!! hawa walikuwa na roho nzuri sana
 
ha ha ha ha mi huwa nauliza ke,zaidi ya sex ni kitu gani unaweza nisaidia;tatizo ke mnapenda sana vya kupewa tafuteni vya kwenu.
Tuonyeshe mf.
Mwone kwanza hivi saivi unaweza kuona kweli?
Ni inbox nikuombee dah corona imekuja inapita upo sibure wenye dhambi hawafi mpaka watubu roho yako sio salama
 
Embu kamwambid Bill Gates na Jeff Bezo haya maneno sisi wenye hela utuache kabisa.
 
Wanawake hawajielewi, anaweza kukuacha kisa artificial harufu (perfume) tuu anayonukia mwanaume mwingine
 
Back
Top Bottom