Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,766
- 12,979
Unatako A.K.A chura?Yaani sio nawadharau ila niukweli.
Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao.
Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu.
Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa maisha haya magumu atasema wewe.
Akifikiria matunzo na starehe basi anaambia asikuone tena.
Kila siku utaanza upya kutafuta demu na hawadumu kisa wewe ni mgegedo tu huna cha ziada.
POLENII ILA HELA LAZIMA UWE NAYO ILI UPATE CHA KUMTUNZIA KITU KIZURI CHA HITAJI MATUNZO PENDA MSIPENDE.
Au ndio essay kubwaa kumbe flat screen..!!
#YNWA