MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,425
super fan
Wanaume wa dar hawapo hivyo, sababu hao wasanii wanakutana nao mara nyingi. Huyo ni wa mkoani mwenzetu sasa wakati anakuja dar alikuwa na matamanio ya kuwaona wasanii live bila chenga, sasa ametimiza mojawapo ya ndoto zake haposuper fan
View attachment 1029870
Kama hiiNi sifa zipi hasa hutumika mpaka mwanaume kuitwa 'mwanaume wa dar' isijekuwa mimi pia ni mwanaume wa dar.
Lahaula mashaalah!
dooooh
Hii Sasa hatari
Hawa watu maarufu mtu aliyepo Dar hawezi kumshobokea ivyo ndiyo maana wasanii waliopotea na hawana hit song wanazunguka mikoani na kupiga hela hata fake tu anapiga hela kwakujiita jina la mtu lakini mkoani wanajaa kwenye kumbisuper fan
View attachment 1029870
Wee ni baharia sio?Sema bora yeye kikwapa kakipiga chakoni,.Maana wangine hapo ingekuwa kama kambana utongwa kwapani.