nelly nashon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 242
- 521
Kuna mambo huwa hutuyafikiri lakini hutokea katika maisha yetu,
Katika jamii za kiafrika, Wakwe zetu ni watu wa heshima sana na mara nyingi tunapokutananao huwa tunajitahidi heshima hiyo tusivunje kwa namna yeyote ile.
Lakini kuna matukio mengine ya aibu sana kama utayafanya mbele ya wakwe zako, hasa kwa wanaume mbele ya mama mkwe.. Mfano ni Kujamba kwa sauti mithiri ya bomu...etc
Mfano kwa mira zetu, mama mkwe akiona unakojoa lazima faini yake iwe ng'ombe.
Je, utafanyeje kama kwa bahati mbaya ukiwa katikati ya Mazungumzo ukajamba tena kwa sauti kubwa?
Tililika, Tujifunze.
Katika jamii za kiafrika, Wakwe zetu ni watu wa heshima sana na mara nyingi tunapokutananao huwa tunajitahidi heshima hiyo tusivunje kwa namna yeyote ile.
Lakini kuna matukio mengine ya aibu sana kama utayafanya mbele ya wakwe zako, hasa kwa wanaume mbele ya mama mkwe.. Mfano ni Kujamba kwa sauti mithiri ya bomu...etc
Mfano kwa mira zetu, mama mkwe akiona unakojoa lazima faini yake iwe ng'ombe.
Je, utafanyeje kama kwa bahati mbaya ukiwa katikati ya Mazungumzo ukajamba tena kwa sauti kubwa?
Tililika, Tujifunze.