Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,181
- 3,547
Najua ni ngumu wanaume wenzangu kunielewa lakini nasema mwanaume mwenzangu hata kama huna kitu kamwe usikubali kunyanyaswa na mwanamke wako kisa amekuzidi kipato.
Unashanga unakutana na mwanaume analalamika mpenzi wangu ananidharau,mara hana time na mimi,mara muda Wote yupo bizee, mara nanywimwa tendo la ndoa lakini unakuta mtu anakubali kuvumilia eti kisa mwanamke ana uwezo kasoma sana kuliko yeye anakubali kuishi maisha ya utumwa .
Ukimwambia mtu aachane nae anakuwa ana kigugumizi mi achaa niseme kitu mwanaume kama utashidwa kusimama Imara itafika stage mwanamke wako analeta mwanaume ndani ya nyumba na huongei chochote hivyo usikubali ukiona vipi vunja mahusiano tuu
Unashanga unakutana na mwanaume analalamika mpenzi wangu ananidharau,mara hana time na mimi,mara muda Wote yupo bizee, mara nanywimwa tendo la ndoa lakini unakuta mtu anakubali kuvumilia eti kisa mwanamke ana uwezo kasoma sana kuliko yeye anakubali kuishi maisha ya utumwa .
Ukimwambia mtu aachane nae anakuwa ana kigugumizi mi achaa niseme kitu mwanaume kama utashidwa kusimama Imara itafika stage mwanamke wako analeta mwanaume ndani ya nyumba na huongei chochote hivyo usikubali ukiona vipi vunja mahusiano tuu