TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,463
- 11,166
case z ova.
pc n love.
ave anice day ma broo.
Wewe unaonekana huwa haununi..:smile-big::smile-big:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
case z ova.
pc n love.
ave anice day ma broo.
ATA KIDOGOWewe unaonekana huwa haununi..:smile-big::smile-big:
Muache big leo hataki taabu anatoboa tu maandazi na kuandaa makange
Wewe unaonekana huwa haununi..:smile-big::smile-big:
Mwanamke umea!!!!! kusutwa suna babu weeeee
Mi nataka wamotooooooo ukipoa kiporo
tehh tehh makange YA DIG DIG??jaman mama bg usimfanyie ivo dig dig wwawatu..
mmh apa naogopa finest atansuta...ntakuchek kwa sms...mh shosttttttttt una kifua lakin?una moyo?una mbavu?una miguu? una....ok then stay tuned...the calabash iz coming...wth full info MR MADAME
:tape::tape::tape::doh::nono: This is not a woman to marry
dah una akili wewe...
jaman nsipoolewa asi ntakufaaa?????
Unaimba taarabu wwe?naona umekaa kiswaga izo..ebu jarbu kunpotezea kdg ..dah kasuke ukiri na bibi yako
ur very low ...very min..upeo mfuuuup..woman to mary siyo?
R u husband 2mary?
Crap as t z.
Rest in peace
haya mama nitakupotezea, ila acha hasira binti
+uache kujfanya unajua sana watu
+kujifanya jaj
+kujifanya unatambua saaaaaaaaaaana
apa jf n 4fun si kuanza kuandagrade watu na kuwasema vbaya watu
-sna tabia ya kurudsha majibu mabaya kwa watu lakin kakangu nimekuvumilia kitambo sana yan nimekuzngatia karne sasa nkaona wewe unataka kunpandia kichwan
fatilia swaga zangu nikipost basi ni for fun na kuna watu ambao tunataniana lakin c wewe naona wew swaga zako zmekaa kidharau zaid..namimi dharau si swaga zangu ....so km vp wewe nipotezee tu..jaribu kuwachokoza wengne...mimi kutukana km unavyotukana wewe siwez afu naona ntakuwa mtoto km si mpumbavu ..so baba plssssssssss nipitie mbali tafuta wa swaga zako mimi nooooooooooooo.
Byeeeeeeeeeee
case z ova.
Pc n love.
Ave anice day ma broo.
mmh apa naogopa finest atansuta...ntakuchek kwa sms...mh shosttttttttt una kifua lakin?una moyo?una mbavu?una miguu? una....ok then stay tuned...the calabash iz coming...wth full info MR MADAME
Kitanda usochokilalia hujui kunguni wako.....
Hapa nimenuniwa.....najaribu kubembeleza mnuno uishe....Rose alidai gauni la sikukuu (ya jana) sasa nikawa nimechacha.......
Rose:kiss::kiss::kiss::love::love:
Kaniboa sana huyu :llama:mbele ya macho yako na RR chakuja amevaa shati jeupe black suruwali na 4angles kumbe hana lolote hata sheli tuu anataka kupelekwa
Waniuaua kipenzi, waniuaua X2
Wanaume bwana huwa hawanuni zaidi ya siku tatu ..hawapendi malumbani lakini sisi kina mama unaweza kununa mpaka sura inaanza kupoteza mvuto
sijui tukoje sie
Wanaume bwana huwa hawanuni zaidi ya siku tatu ..hawapendi malumbani lakini sisi kina mama unaweza kununa mpaka sura inaanza kupoteza mvuto
sijui tukoje sie
Hivi Rose, SUB TENDER ndo kama SPARE TYRE eeeeeh!!mmmmmmmmmh kama ni hivyo basi swaga hizo hapana!!!!!!!!!!!Kwani hata hivyo inahu...........???????!!!!!
labda huo ni MNUNO!!!
jicho lako km ngumi ya mwiz waniua...waniua ua kipenz waniua......
hata kosa likiwaje
wanapenda kulizungumza ata km matokeo ya maongez ni mabaya lakin ata least kazungumza na siyo kurefusha mdomo km chujio la chai....