GFM
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 706
- 6
Haya wanaJF, niliwahi ulizwa hili swali na bibie mmoja aliyekuwa amekosana na BF wake. Kutokana na maelezo yake inaelekea yeye bibie ndio alikuwa mkosaji. Kitendo kilichompelekea BF kununa. Baada ya kuomba ushauri, akaniuliza eti kaka jamani kwani wanaume wananunaga? Kwa kweli sikuwa na jibu mie nilimwambia tu wanaume ni watu kama nyie na wana miili ya nyama na wanatofautiana sana. Wengine hufa na tai shingoni na wengine huonyesha hisia zao. Hebu nipeni mtizamo wenu, kinadada na akinakaka mnasemaje hapo?