mayounger
JF-Expert Member
- Aug 17, 2012
- 486
- 378
Kama kawaa 🤣🤣- vitu vya kizinzi tu na uasherati, halafu J2 upo front seat kanisan
Kama kawaa 🤣🤣- vitu vya kizinzi tu na uasherati, halafu J2 upo front seat kanisan
Mkuu wewe ni kibokoVyote vinapatikana famasi mkuu.
Durex condoms ziko famasi.
SD Bioline zinauzwa famasi moja elfu 3 ana 4 hadi 5 ila isizidi hapo kwa ajili ya kupimia ukimwi na kikopo cha maji yake ama buffer solution.
Kuna pricker,visindano vya kutobolea kidole ili kutoa damu.
Kuna KY Jelly kwa ajili ya kulainisha. Kuna wanawake wengine ni wakavu sana hata umfanyeje anakauka haraka. Sasa risk ya kuepuka michubuko tumia hayo mafuta unakula nyapu fresh tu.
KY ni safe kuliko kutumia lublicants za mitaani kama mafuta ya masaji nk ambayo hayajathibitishwa na wataalam kumuingizia mtu kwenye mwili wake unaweza kumletea matatizo, KY ni approved lublicants. Wale wanaofira pia huyatumia haya ingawa mimi sifanyi hivyo. Hii inapatikana famasi pia, bei haizidi elfu 12.
Hope nimejibu maswali yako
Du ziara ya kimapenzi!!!Unaenda Ziara ya Kimapenzi Nyanda za juu kusini.....
mkuu Kwahiyo ulizibua mtaro? Vipi nanga ilitoka na tope? 😝Juzi kati kuna bar maid wangu wa enzi hizo chuo nilikua nakula,after kupotezeana miaka kadhaa ,nimekutana nae,akanikaribisha ghetto kwake kabla sijamla nikaona anavuta droo lake akatoa hizo dhana tukapimana then ikapigwa show moja heavy.
well notedKesho nasafiri kwenda Nyanda za Juu Kusini na kisha nitakwenda Kigoma, mojawapo ya vitu vya muhimu siwezi kuacha ni hivi hapa chini.
Mwanaume hakikisha hukosi hivi vitu kwenye hazina yako uendapo popote.
NB: KY ni kwaajili ya kulainisha kuhakikisha hakuna mchubuko na sina matumizi nayo zaidi ya hilo. Maana short sighted people hamkimbilii kusema hiyo jelly inatumika nyuma kama mlivyokariri wakati ni lublicants ambayo inaweza kutumika kuondoa mchubuko.
View attachment 1963008
Kwanini unamuombea mwenzako mabaya?, Unadhani MUNGU anasikia maombi ya namna hii?. Binadamu tupendane na tuombeane mema.Nakuombea ukakutane na pisi imetumika week 3 nyuma ikaungua ukapiga hio bioline ikasoma negative ukapeleka dry ukachubuka uukwae
Herpes ni viral Mkuu,inatibikaje sasa?.Hayo yanatibika mkuu.
Tunapambana na magonjwa yasiyotibika kwa sasa.
Usiwe serious ivo mkuu sio nzur hioKwanini unamuombea mwenzako mabaya?, Unadhani MUNGU anasikia maombi ya namna hii?. Binadamu tupendane na tuombeane mema.
, Sasa si ungesema tu kuwa unatania ili tujue?!!!.
Hongera sana MkuuKesho nasafiri kwenda Nyanda za Juu Kusini na kisha nitakwenda Kigoma, mojawapo ya vitu vya muhimu siwezi kuacha ni hivi hapa chini.
Mwanaume hakikisha hukosi hivi vitu kwenye hazina yako uendapo popote.
NB: KY ni kwaajili ya kulainisha kuhakikisha hakuna mchubuko na sina matumizi nayo zaidi ya hilo. Maana short sighted people hamkimbilii kusema hiyo jelly inatumika nyuma kama mlivyokariri wakati ni lublicants ambayo inaweza kutumika kuondoa mchubuko.
View attachment 1963008
Umesahau vumbi mwenyekiti..Kesho nasafiri kwenda Nyanda za Juu Kusini na kisha nitakwenda Kigoma, mojawapo ya vitu vya muhimu siwezi kuacha ni hivi hapa chini.
Mwanaume hakikisha hukosi hivi vitu kwenye hazina yako uendapo popote.
NB: KY ni kwaajili ya kulainisha kuhakikisha hakuna mchubuko na sina matumizi nayo zaidi ya hilo. Maana short sighted people hamkimbilii kusema hiyo jelly inatumika nyuma kama mlivyokariri wakati ni lublicants ambayo inaweza kutumika kuondoa mchubuko.
View attachment 1963008