Kwenye bold ndio la msingi, hayo mengine yote ni manung'uniko ya dada yako kupewa mimba na kukimbiwa. Jambo hili ni pana huwezi kulirusha kwa mwanaume just like that. Kuna virukanjia vinagawa mwili kama mbwa wa mtaani, halafu mwisho wa siku vinamchagua mgawiwaji mmoja na kumwambia 'mimba yako', akili kama zako zinaishia kulea watoto wa wenzako.
Tulizeni maumbile yenu ndani ya nguo, zinaa kama wanyama pori ndio inaleta yote hayo
Kwenye hizo bold panahusika, Wanyama hawafanyi zinaa kama binadamu. Wanyama wana staha wanafanya ngono kwa nia ya kuzaa tuu ili waendelee ku-exist. Usilinganishe Binadamu wachafu na wanyama tafadhari.
Swali ulisha ona mbwa, au nguruwe au ng'ombe au simba anagegedwa kama hayuko tayari kuzaa??