my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,017
- 2,384
Unakuta mwanaume hana hata passport. Hajawai jata kutoka nje ya nchi hata Kenya tu awajawai kufika. Mwanaume hana exposure. Hivi mwanaume unakosaje passport?
Mwanaume unakosaje kutoka nje ya nchi jamai?. Wanaume wa hivi wanakuaga wapo wapo tu hawajui hata dunia inavyokwenda.
Wanakuaga na mawazo mgandoo hawajielewi 🤦🏻♀️
Mwanaume unakosaje kutoka nje ya nchi jamai?. Wanaume wa hivi wanakuaga wapo wapo tu hawajui hata dunia inavyokwenda.
Wanakuaga na mawazo mgandoo hawajielewi 🤦🏻♀️