emanugulilo
Member
- Jun 22, 2017
- 39
- 29
U
Km ni mimi utachemka tu na huto tumbinu uchwara
Km ni mimi utachemka tu na huto tumbinu uchwara
Nipo kijana wangu niambieUpo mammie?
We naweee....unapenda spoon feedingMkuu weka na paragraphy ya mtongozo
Ila mmezidi khaa...mtu anakutongoza hata hujamkubalia tayari ameshapanga na ratiba ya kugegedana ila kwenye hii sekta mko vizuri aisee hamchezi nayo mbaliKutongoza hakuna formula..!
Tumepotezana jaman!!Nipo kijana wangu niambie
Mkuu haya mambo yanahitaji full support eti! Sio nusu nusu hvo...We naweee....unapenda spoon feeding
Mi mbona nipo nimejaa teleTumepotezana jaman!!
wale vicheche jarbu kwaoHii mbinu hainifai... Minataka within a week mambo yakae vyema nikagegede.... Sasa haya mambo ya miez my friend
Haaa makinikia.Miez miwili hiyo ni interview kabisa makinikia unatakiwa kuifumua baada ya maasaa 48
sawa mkuu No EscapeHizi mbinu ndefu sana utakosa mke! Kufunuana kwanza mengine baadae...
kvp mkuuU
Km ni mimi utachemka tu na huto tumbinu uchwara
kwa nn mkuuUkimzoea mtu sana kumtongoza inakua ngumu, trust me
Doooh hela sio kla ktu mda mwngne mkuuNakushauri Mwanamme Njia Rahisi ya kumpata Mwanamke yeyote Mrembo unaetamani kuwa nae Ni moja tu we Tafuta hela,yaani uwe na Hela Isiyo ya mawazo,Mpatie hela yaani we mpatie tu hela narudia tena mpatie hela hutahangaika hata kumuomba namba Atakuomba yeye, na text atatuma yeye na kukupigia atakupigia yeye Hela ndo chambo cha mwanamke yeyote Hata kama una kibamia ukiwa na hela atakusifia kuwa una dushe balaa hela,hela hela
mhYote hayo bila pesa unacheza tu
Aya mkuu wapo weng snaHuo muda wa kutongoza mwanamke miezi miwili unautoa wapi wakati papuche zipo kibao. Week tu inatosha asipokuelewa unahamia kwa mwengine
wel done mkuuNdomana mm nliempata nnae mpaka Leo kwa staili hyohyo !!! Hongera umeotea leo
kwel mkuuNi njia ndefu sema faida yake ni kwamba ukishaanza kumtusua Mara ya kwanza tu siku zinazofuata utakua unachenjua hiyo makinikia bila gharama yoyote mpaka utakapochoka