Haya ndio tunayowaza Wa afrika, hizi ndio akili zetu zilipoishia
Tunawaza ngono tuuuuuuu! Basi.
Siioni nchi ya viwanda
Trump " Africa are lazy , Good at sex and theafs" vijana wanawaza ngono tuuuu
Haya ndio tunayowaza Wa afrika, hizi ndio akili zetu zilipoishia
Tunawaza ngono tuuuuuuu! Basi.
Siioni nchi ya viwanda
4. Usifanye ngono ukiwa unajamba, kwa maana imeandikwa usijaribu ushuzi kama unaharisha.
4. Usifanye ngono ukiwa unajamba, kwa maana imeandikwa usijaribu ushuzi kama unaharisha.
Ukiona mwenzi wako hajambi mbele yako na kama hujawahi kusikia mwenzio kajamba, basi stuka na tambua kuwa anakuficha mambo mengi sana.Hilo la Kujamba litazua Gumzo maana Mwanamke hapaswi kujua kuwa mumewe anajamba.
huyo anayejamba ni wa Kagera nini?
ha ha ha sawa lkn je nn atakua anakufichaUkiona mwenzi wako hajambi mbele yako na kama hujawahi kusikia mwenzio kajamba, basi stuka na tambua kuwa anakuficha mambo mengi sana.
5. Usifanye ngono siku ya mechi ya Simba na YANGA.ngoja waje
Pini ndogo nayo ina simu zake
Lakin kosa kutumia pin ndogo kwenye simu yenye tundu la pin kubwa
Chochote kile unaweza fichwa, anaweza kuwa ana akaunti hata 20, biashara, anajenga gorofa, ana michepuko, etc bila wewe kufahamu.ha ha ha sawa lkn je nn atakua anakuficha
ha ha haa halaf muwe team tofauti nimecheka sana5. Usifanye ngono siku ya mechi ya Simba na YANGA.
Hongera kwa utafiti huu mdogo na wa ukweli kwa upande wangu.Habarini wanajamvi,
Kumekuwa na wimbo wenye vilio kwa wanaume kuwa hawana nguvu za kiume huku wengne wakiishia kagoli kamoja.
Lazima ujue kuwa ngono ni kuwa na hapetaiti au ashki ikiwa apetaiti yako ipo juu basi ni rahisi kukinahiwa haraka hivyo uangalifu unahitajika.
Ashki humalizwa na mambo mbalimbali na ni vizuri kuyafahamu ili usije kumbwela juu ya kifua cha mwandani wako.
Mambo ya kuepuka wakati unataka kufanya ngono;
1. Mazingira ya joto
Pafomansi ya kufanyia kwenye chumba chenye joto huwa hairidhishi. Mwili huwahi kupata moto na kupoteza hamu haraka.
2. Usifanye mapenzi tumbo likiwa tupu.
Kama unanjaa au unamuda mrefu tokea ule labda masaa kuanzia manne kuendelea basi usijefanya mapenzi kwani ukijitahidi utapiga vibao viwili tuu vya uchovu.
Utafiti huo ni kwa hisani ya kiumeni, nikiwa yamenikuta hayo kwa zaidi ya wanawake saba tofauti tofauti nikajikuta nikiambulia fedheha.
Nawasilisha
Ahaaaaaa haaaaaaaaaaaaSi ndo useme hupendi mwanaume akunaniliu katika mazingira gani??
Au unapenda kuliwa denda na dume linalobanja??
Epuka birob....Habarini wanajamvi,
Kumekuwa na wimbo wenye vilio kwa wanaume kuwa hawana nguvu za kiume huku wengne wakiishia kagoli kamoja.
Lazima ujue kuwa ngono ni kuwa na hapetaiti au ashki ikiwa apetaiti yako ipo juu basi ni rahisi kukinahiwa haraka hivyo uangalifu unahitajika.
Ashki humalizwa na mambo mbalimbali na ni vizuri kuyafahamu ili usije kumbwela juu ya kifua cha mwandani wako.
Mambo ya kuepuka wakati unataka kufanya ngono;
1. Mazingira ya joto
Pafomansi ya kufanyia kwenye chumba chenye joto huwa hairidhishi. Mwili huwahi kupata moto na kupoteza hamu haraka.
2. Usifanye mapenzi tumbo likiwa tupu.
Kama unanjaa au unamuda mrefu tokea ule labda masaa kuanzia manne kuendelea basi usijefanya mapenzi kwani ukijitahidi utapiga vibao viwili tuu vya uchovu.
Utafiti huo ni kwa hisani ya kiumeni, nikiwa yamenikuta hayo kwa zaidi ya wanawake saba tofauti tofauti nikajikuta nikiambulia fedheha.
Nawasilisha
aiseeChochote kile unaweza fichwa, anaweza kuwa ana akaunti hata 20, biashara, anajenga gorofa, ana michepuko, etc bila wewe kufahamu.
Ha ha ha imeandikwa ktk Aya gani hii Mkuu?