impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,733
- 7,611
Fungueni uzi wenu,Bila shaka hii kwa ajili ya Wanaume walio-oa. Sisi mabachela haituhusu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Fungueni uzi wenu,Bila shaka hii kwa ajili ya Wanaume walio-oa. Sisi mabachela haituhusu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Wavulana fungueni uzi wenuBila shaka hii kwa ajili ya Wanaume walio-oa. Sisi mabachela haituhusu
Sent from my iPhone using JamiiForums
mjanja mjanja sana huyu baharia.Mchakataji wa viepe
. Zero IQ. huyu dogo ana kipaji cha komediani nikiona uzi wake nacheka kabla ya kujua alichoandika
Bila shaka hii kwa ajili ya Wanaume walio-oa. Sisi mabachela haituhusu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Umenena vyema. Kimsingi, usifanye mapenzi na mwanamke asiye mke wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikiri kichwa cha thread ungeandika USIFANYE MAPENZI
Aki tembea na rafiki yako, kimya kimya je?Mwanaume anaetembea na house girl wa nyumbani kwake namdharau sana. Namdharau sana tena sana.Yani huyo ni baradhuli wa kwanza. Kukosa adabu huko.
Sent using Jamii Forums mobile app