Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,067
Kila mwanaume najua pesa za kubangaiza ila namanisha pesa za kutosha aswa kwa kijana anaeanza maisha ni ngumu kupata mwenza kila mahusiano utakayoanzisha yatavunjika kwa mda mfupi nakukuacha na hali.ya sitofahamu
Maisha ya kuvumuliana yalikuwa zamani utachopata hicho hicho atalizika... Hali imekuwa tofauti kila mwanamke anataka apige picha insta akiwa na nguo mpya kila siku kwa maisha haya wanaume wenye pesa za kutosha wataendelea kushobokewa
Maisha ya kuvumuliana yalikuwa zamani utachopata hicho hicho atalizika... Hali imekuwa tofauti kila mwanamke anataka apige picha insta akiwa na nguo mpya kila siku kwa maisha haya wanaume wenye pesa za kutosha wataendelea kushobokewa