Mallia
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 437
- 1,532
Kaa kizembezembe uoneMara nyingi wanaume wenye pesa huwavutia machangudoa na makahaba ambao wametoka nje ya uthamani wa utu wao na kujiweka kundi moja na bidhaa......kwani mwanamke anayejitambua hawezi kuuthaminisha mwili wake wa thamani na vipande vya fedha bali utu wake......