Mwanaume asiye na msimamo anakosa mvuto

Mkuu trust me nikikwambia kuna watu hawana direction yoyote ya future wife. Huyu mtu kwanza ni muwazi sana. Kama anataka kukutumia anakwambia wazi anakutumia. By the time tupo kwenye mahusiano kiukweli alikuwa anajituma na hizo tabia za kujiachia hivyo hakuwa nazo. Tumeachana naye baada ya kunichoka. Hatuna future. Hapo ndio akaanza fujo. Anazunguka huko siku akiniona anaanza kunicompare na mademu zake. Mara ananiwekea mazingira ya mimi kumuhitaji yeye. Nikimchana simpendi ananuna. Mara analalamika katika mademu zake hakuna yoyote wa maana mradi vurugu tu.
Bado mvulana huyo. Na we kua na msimamo ataacha drama zake.
 
Habari wana jf?
Kwa kweli nianze kwa kutoa dukuduku langu kwa wanaume baadhi ambao hawana msimamo.
Sifa ya kwanza ya mwanaume kwangu mimi ni kuwa na msimamo. Ujue nini unataka. Ujue kufunga na zipu yako.
Yaani hapa kuna ex wangu mmojawapo hana msimamo kabisa. Anahitaji kuwa na mimi na hapohapo anahitaji kuwa na mwanamke mwingize, wawili zaidi yangu. Hata tukiachana leo, kesho mkakutana tu anaanza kutengeneza mazingira ya kurudiana.
Kutokuwa na msimamo kunawafanya wanaume wengi kushindwa kuwasaidia wapenzi wao wa dhati kwa kigezo kuwa hawajawaoa. Unakuta mwanaume ana wanawake 6, wote hao anawadanganya hovyohovyo tu, analipia guest, chakula, vinywaji nk. Unakuta pesa yote ambayo ungeweza kuhifadhi kwa ajili ya future yako au kumsupport mwenzako inaishia kwenye kula na kunywa na kulipia vyumba tu.
Kutokuwa na msimamo kunapelekea wanaume kuwapelekea wanawake wanaowapenda magonjwa hatarishi kama UKIMWI. Mwanaume hujielewi, mradi mwanamke amekuchekea basi unapita naye. Mwaka jana kuna mdada alikuwa anafanya kazi saluni moja hivi. Bahati mbaya alikuwa muathirika. Kwa kuwa alijua hali yake, basi aliambukiza kwa makusudi. Ukienda saluni hapo na bae wako, huyo dada atajiongeza mwenyewe jinsi atakavyoonana na mwenzako mradi ameshamuona na kumjua. Atamtafuta na kumtega anavyoweza. Wale waliokosa misimamo wanaangukia pua.
Leo niishie hapa. Lakini wanaume mnapaswa kuwa na misimamo. Siku hizi hakuna wanaume wenye misimamo kabisa na kama wapo ni wachache sana.
Dah....
IMG-20191202-WA0006.jpeg
 
Habari wana jf?
Kwa kweli nianze kwa kutoa dukuduku langu kwa wanaume baadhi ambao hawana msimamo.
Sifa ya kwanza ya mwanaume kwangu mimi ni kuwa na msimamo. Ujue nini unataka. Ujue kufunga na zipu yako.
Yaani hapa kuna ex wangu mmojawapo hana msimamo kabisa. Anahitaji kuwa na mimi na hapohapo anahitaji kuwa na mwanamke mwingize, wawili zaidi yangu. Hata tukiachana leo, kesho mkakutana tu anaanza kutengeneza mazingira ya kurudiana.
Kutokuwa na msimamo kunawafanya wanaume wengi kushindwa kuwasaidia wapenzi wao wa dhati kwa kigezo kuwa hawajawaoa. Unakuta mwanaume ana wanawake 6, wote hao anawadanganya hovyohovyo tu, analipia guest, chakula, vinywaji nk. Unakuta pesa yote ambayo ungeweza kuhifadhi kwa ajili ya future yako au kumsupport mwenzako inaishia kwenye kula na kunywa na kulipia vyumba tu.
Kutokuwa na msimamo kunapelekea wanaume kuwapelekea wanawake wanaowapenda magonjwa hatarishi kama UKIMWI. Mwanaume hujielewi, mradi mwanamke amekuchekea basi unapita naye. Mwaka jana kuna mdada alikuwa anafanya kazi saluni moja hivi. Bahati mbaya alikuwa muathirika. Kwa kuwa alijua hali yake, basi aliambukiza kwa makusudi. Ukienda saluni hapo na bae wako, huyo dada atajiongeza mwenyewe jinsi atakavyoonana na mwenzako mradi ameshamuona na kumjua. Atamtafuta na kumtega anavyoweza. Wale waliokosa misimamo wanaangukia pua.
Leo niishie hapa. Lakini wanaume mnapaswa kuwa na misimamo. Siku hizi hakuna wanaume wenye misimamo kabisa na kama wapo ni wachache sana.
Usitufananishe wanaume tuliopo na Wavulana.

Uzijue tofauti kati ya Wanaume na wavulana.
 
Hakuna sehemu niliyosema tumerudiana bali nimesema yeye anataka hivyo mkuu.
Hana msimamo sababu huna msimamo kila akikutaka anakupata wewe na wenzio mnaofanana hao ni wavuliana au watoto wa KIUME jaribu kuwatofautisha na WANAUME, Mfano wewe hapo ni msichana ila ungekuwa MWANAMKE usingekuwa on-off kiasi icho kwa mvulana ......endelea kuvumilia maana huna jinsi si umedai unampenda
 
Ningekua namtaka tena, wala nisingemshangaa hivi na kuja kuwahasa wengine wenye tabia kama hizi mkuu. Miaka hairudi nyuma. Tunawasaidia wenzetu wa aina yake tunapoona wanakosea lakini siwezi kurudi kwake baada ya kujua weakness yake. Yupo available. Mwanamke yeyote anaweza kumpata akijisikia.
Hana msimamo sababu huna msimamo kila akikutaka anakupata wewe na wenzio mnaofanana hao ni wavuliana au watoto wa KIUME jaribu kuwatofautisha na WANAUME, Mfano wewe hapo ni msichana ila ungekuwa MWANAMKE usingekuwa on-off kiasi icho kwa mvulana ......endelea kuvumilia maana huna jinsi si umedai unampenda
 
""Eti mabaharia wanasema tuwe na msimamo tuwe na mwanamke mmoja nyie mnaonaje sio mmekaa hapa mnaniangalia"" embu leteni mwongozo kwenye hichi kikao chetu cha ghafla kwenye huu uzi
78867479_176431733547897_3882762572885131264_n.jpeg
 
Nakuona unataka kupata rafiki wa kiume na umesahau sifa ya mwanaume ni urijali.

Ucpo kua na msimamo wwe si tutakuweka kwenye ule Uzi wetu pendwa

Umeshawahi kula tunda kimasihara!

Under Riki boy control
 
Hakuna mwanaume mwenye msimamo mbele ya mwanamke asiye na msimamo,Ni YUSUFU TU aliweza na akaweka record mpaka kuandikwa kwenye vitabu takatifu,lakini wengine wooote including baba wa imani ( mzee Ibrahim),hakuweza,Samson na misimamo yake mikali ya kuua Simba,lakini kwa mwanamke asiye na msimamo alikwama...

Mwanaume anakuwa na misimamo anapokutana na mwanamke mwenye misimamo,kinyume na hapo oooohoooo!!!!
 
Back
Top Bottom