Makala Jr
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,395
- 1,110
Mwanaume mmoja nchini uganda aliyejulikana kwa jina la Lorant Tumsime amekatwa sehemu zake za siri usiku wa juzi alipokuwa amelala. Mwanaume huyo amekatwa nyeti zake na mkewe Judith Nabhakilia aliyedai kuwa,amechoshwa na uzinzi wa mumewe ambaye amewahi kumfumania mara nyingi akizini na wanawake wengine kwenye shamba lao la migomba kwa kuwa wanandoa hao ni wakulima.Hivyo aliamua kufanya maamuzi magumu ya kumvizia usiku akiwa amelala na kumkata uume wake kwa kisu kikali. Bibie Judith ametoroka na kumwacha mumewe akilazwa hospitali kwa uchungu mkubwa wa kutokujua hatma ya uanaUME wake. | | Katika historia matukio ya wanaume kukatwa nyeti zao yalilipotiwa kwa wingi nchini Thailand kati ya 1973 hadi 1980 ambapo visa 100 viliripotiwa.Pia visa hivyo vimewahi kuripotiwa Yemen na Iraq ambapo wanajeshi mashujaa walikuwa wanawakata nyeti mateka ikiwa kama ishara ya ushindi lakini,nchini china wanaume waliowahi kufanyiwa hivyo walirudishiwa nyeti zao...SWALI:Unalizungumziaje sakata hili?