Mwanaume aliyelelewa na mama peke yake, ni mtu wa aina gani?

Delegate

JF-Expert Member
Jan 4, 2012
331
201
Nimeona single mothers wakistruggle kulea watoto wao wa kiume peke yao bila baba za hao watoto kuwepo.

Je unaweza kumjua mwanaume aliyelelewa na mama peke yake? Je tabia zake zinakuwaje? Anaweza kuwa mwanaume halisi yaani roho ngumu?

Ninachojua watoto wa kiume wanatakiwa kuwa karibu na baba zao ili wakopy mambo kadhaa kwa baba zao. Je kwa aliyelelewa na pande zote mbili yaani baba na mama na aliyelelewa na mama peke yake wana tofauti???

ndugu mtoa mada na kwa faida ya wanajamvi wengine, naomba niseme hivi.

Siku mtoto anazaliwa hachagui kuzaliwa kwenye aina yeyote ile ya maisha bali ni nature ina mchagulia so hana makosa hata kidogo kwa maisha atakayojikuta amezaliwa/amelelewa iwe ni single or awe na wazazi wote. kosa kubwa hapa naliona kwa sisi wazazi wenyewe ingawa muda mwingine mtu unaweza kukosa jinsi basi inabidi ukubaliane na hali halisi ya kuwa mzazi pekee. kwangu mimi kuwa na wazazi wote au mmoja haina mashiko sana iwapo tu mtoto huska atajitambua basi.

sipendi kuongelea sana jinsia za hawa watoto kwa kuzitengenisha bali nitaziongelea kiujumla wake.
mzazi wa kike anapolea watoto peke yake anaweza kupata matokeo mawili kwamba ama awalee vizuri na watoto atoke wakiwa watu wazuri kwenye jamii ama walee kimayai watoto watoke wakiwa sio watu wema kwenye jamii.
Mimi ni mama ila kuna jambo ambalo huwa linaniumiza sana juu ya jinsi tunavyolea watoto mara nyingi.

Iwapo umejikuta unalea mtoto peke yako kwanza jua kabisa kuwa maisha hayanaga upendeleo hata siku moja so kuwa mzazi pekee isiwe ni sababu ya kumlea mtoto kimayai. Jua kuwa hakuna excuse anazopewa mtoto kwa kuwa alilelewa na mzazi mmoja hata siku moja siku zote maisha yanatoa vitu vyote kwa binadamu wote ila uwezo na uwajibikaji wako ndio unaokufanya upate baadhi na vingine ukose. sijawah kuona eti labda gari limetengenezwa kwamba hili liendeshwe na walio lelewa na mama pekee au baba pekee. vyote hutoka kwa ajili ya wote na juhudi zako binafsi na uwezo ndivyo vitakavyo kupatia.

Akin mama wengi huwa tunafika mahali tunayasahau haya huku tukijua kuwa maisha hayanaga upendeleo kwa yyte yule. watoto wengi wanaolelewa na baba huwa wanaish kigumu naweza sema na mwishowe wanakuwa very prosperous ingawa siyo wote ila hii ni kwasababu baba siku zote maisha anavyomlea nayo mtoto ni ya kumuwajibisha na kumuonyesha sura halis ya maisha tofauti na sisi akina mama ambao siku zote hupenda kumuonyesha mtoto sura nzuri tu ya maisha na kusahau upande wa pili.

wamama wachache sana waliweza kumudu maisha ya kulea watoto peke yao wakawa prosperious kama aliyetuonyesha Mtambuzi na huyu ilitokana na ukweli kuwa mama yake alimuonyesha mwanae sura ya pili ya maisha kuwa kuna juhudi binafsi na wewe kulelewa bila baba haikupi excuse ya kutokuwajibika. alimnyima mwanae kuangalia TV na kumpa homework nyingi ili kumjengea dhana ya uwajibikaji na hii ilimtoa huyu mtoto. binafsi nimependezwa sana na aina ya mama kama huyu ambaye kwake yeye maisha yako fair kwa kila mtu, ila uwajibikajai tu ndio unoleta tofauti.
 
Sijui tunaelekea wapi ndugu zangu,maana naona zimeanza thread za kujadili watoto wanaolelewa na mzazi mmoja naona mwishoe watakuja kunyanyapaliwa. Mwingine aseme sitaoa mtoto alielelewa na mama peke yake kwa kuwa wanafundishwa vibaya. Hao watoto hawajapenda ni sisi wazazi ndio tuliosababisha yote hayo,sasa kwanini waadhibike kwa makosa yetu???!!!! Mtoto anaweza kulelewa na both parents and still akawa kitu cha ajabu. Hebu tumuweke Mungu mbele kwenye malezi ya watoto na si kuanza kushupalia mambo ya ajabu.
We have a long way to go my people!
 
Sijui tunaelekea wapi ndugu zangu,maana naona zimeanza thread za kujadili watoto wanaolelewa na mzazi mmoja naona mwishoe watakuja kunyanyapaliwa. Mwingine aseme sitaoa mtoto alielelewa na mama peke yake kwa kuwa wanafundishwa vibaya. Hao watoto hawajapenda ni sisi wazazi ndio tuliosababisha yote hayo,sasa kwanini waadhibike kwa makosa yetu???!!!! Mtoto anaweza kulelewa na both parents and still akawa kitu cha ajabu. Hebu tumuweke Mungu mbele kwenye malezi ya watoto na si kuanza kushupalia mambo ya ajabu.
We have a long way to go my people!

mkuu nimekuelewa nilitaka kujua kama kuna tofauti,sijatupa lawama wala sijamdharau mtu,nilitaka kujua kama hawa wawili wanaweza kutofautiana
 

yes thats true Mtambuzi..nimelelewa na mama na nina lelewa na mama na Ben Carson ni role model wangu..yani najaribu kuwa na busara za hali ya juu japokua mapenzi kwa mama yangu hayapungui Ng'oo hata nikioa!!! kanilea kwa shida na raha huyo baba hata kalamu wala penseli yake siijui masaburi yake mekundu..safi sana mama angu najua upo humu JF ..Kisses!:A S-heart-2::A S-heart-2:
 
yes thats true Mtambuzi..nimelelewa na mama na nina lelewa na mama na Ben Carson ni role model wangu..yani najaribu kuwa na busara za hali ya juu japokua mapenzi kwa mama yangu hayapungui Ng'oo hata nikioa!!! kanilea kwa shida na raha huyo baba hata kalamu wala penseli yake siijui masaburi yake mekundu..safi sana mama angu najua upo humu JF ..Kisses!:A S-heart-2::A S-heart-2:

mkuu kuna wakati unajihisi kama una mapungufu fulani kwa kitendo cha baba kuwa mbali na wewe utotoni? na vipi baba akija sasa hivi na kutaka kujenga uhusiano na wewe,utamkubalia?
 
mkuu kuna wakati unajihisi kama una mapungufu fulani kwa kitendo cha baba kuwa mbali na wewe utotoni? na vipi baba akija sasa hivi na kutaka kujenga uhusiano na wewe,utamkubalia?


Antolee ujinga wake hapa.. na akijaribu tu ntamtembezea mapanga ..sioni mapungufu yoyote..though askwambie mtu singe parental si mchezo unaweza ukawa na shida labda ya hela na huna option ya kumuomba mtu mwingine zaidi ya mama na akisema sina ujue imekula kwako..binafsi nimekula good time sana..shule nzuri..maisha mazuri..pocket monie ya kutosha..usafiri safii sasa huyo baba wa nini? sioni hata faida yake maana hakija haribika kitu..!
 
nimeona single mothers wakistruggle kulea watoto wao wa kiume peke yao bila baba za hao watoto kuwepo,je unaweza kumjua mwanaume aliyelelewa na mama peke yake?je tabia zake zinakuwaje??anaweza kuwa mwanaume halisi yaani roho ngumu?nachojua watoto wa kiume wanatakiwa kuwa karibu na baba zao ili wakopy mambo kadhaa kwa baba zao,je kwa aliyelelewa na pande zote mbili yaani baba na mama na aliyelelewa na mama peke yake wana tofauti???

Binafsi, nafikiri ni vyema watoto wapewe malezi mema bila kujali kuwa wanalelewa na single mothers au laa. Mitaani kuna mitoto imeshindikana kwa tabia mbaya wakati inalelewa na wazazi wote wawili. Tumeshuhudia hata baadhi ya watoto wa viongozi wa dini (ambao kimsingi ndo tungetegemea wawe mfano kwa sababu ya kupata malezi bora) wakionyesha tabia mbovu mitaani zilizoshindikana.
Ishu hapa ni kuwapa malezi mema, na sahihi na pia kumuomba Mungu awajalie tabia njema.
 
ndugu mtoa mada na kwa faida ya wanajamvi wengine, naomba niseme hivi.

Siku mtoto anazaliwa hachagui kuzaliwa kwenye aina yeyote ile ya maisha bali ni nature ina mchagulia so hana makosa hata kidogo kwa maisha atakayojikuta amezaliwa/amelelewa iwe ni single or awe na wazazi wote. kosa kubwa hapa naliona kwa sisi wazazi wenyewe ingawa muda mwingine mtu unaweza kukosa jinsi basi inabidi ukubaliane na hali halisi ya kuwa mzazi pekee. kwangu mimi kuwa na wazazi wote au mmoja haina mashiko sana iwapo tu mtoto huska atajitambua basi.

sipendi kuongelea sana jinsia za hawa watoto kwa kuzitengenisha bali nitaziongelea kiujumla wake.
mzazi wa kike anapolea watoto peke yake anaweza kupata matokeo mawili kwamba ama awalee vizuri na watoto atoke wakiwa watu wazuri kwenye jamii ama walee kimayai watoto watoke wakiwa sio watu wema kwenye jamii.
Mimi ni mama ila kuna jambo ambalo huwa linaniumiza sana juu ya jinsi tunavyolea watoto mara nyingi.

Iwapo umejikuta unalea mtoto peke yako kwanza jua kabisa kuwa maisha hayanaga upendeleo hata siku moja so kuwa mzazi pekee isiwe ni sababu ya kumlea mtoto kimayai. Jua kuwa hakuna excuse anazopewa mtoto kwa kuwa alilelewa na mzazi mmoja hata siku moja siku zote maisha yanatoa vitu vyote kwa binadamu wote ila uwezo na uwajibikaji wako ndio unaokufanya upate baadhi na vingine ukose. sijawah kuona eti labda gari limetengenezwa kwamba hili liendeshwe na walio lelewa na mama pekee au baba pekee. vyote hutoka kwa ajili ya wote na juhudi zako binafsi na uwezo ndivyo vitakavyo kupatia.

Akin mama wengi huwa tunafika mahali tunayasahau haya huku tukijua kuwa maisha hayanaga upendeleo kwa yyte yule. watoto wengi wanaolelewa na baba huwa wanaish kigumu naweza sema na mwishowe wanakuwa very prosperous ingawa siyo wote ila hii ni kwasababu baba siku zote maisha anavyomlea nayo mtoto ni ya kumuwajibisha na kumuonyesha sura halis ya maisha tofauti na sisi akina mama ambao siku zote hupenda kumuonyesha mtoto sura nzuri tu ya maisha na kusahau upande wa pili.

wamama wachache sana waliweza kumudu maisha ya kulea watoto peke yao wakawa prosperious kama aliyetuonyesha Mtambuzi na huyu ilitokana na ukweli kuwa mama yake alimuonyesha mwanae sura ya pili ya maisha kuwa kuna juhudi binafsi na wewe kulelewa bila baba haikupi excuse ya kutokuwajibika. alimnyima mwanae kuangalia TV na kumpa homework nyingi ili kumjengea dhana ya uwajibikaji na hii ilimtoa huyu mtoto. binafsi nimependezwa sana na aina ya mama kama huyu ambaye kwake yeye maisha yako fair kwa kila mtu, ila uwajibikajai tu ndio unoleta tofauti.
 
Last edited by a moderator:
yes thats true Mtambuzi..nimelelewa na mama na nina lelewa na mama na Ben Carson ni role model wangu..yani najaribu kuwa na busara za hali ya juu japokua mapenzi kwa mama yangu hayapungui Ng'oo hata nikioa!!! kanilea kwa shida na raha huyo baba hata kalamu wala penseli yake siijui masaburi yake mekundu..safi sana mama angu najua upo humu JF ..Kisses!:A S-heart-2::A S-heart-2:

kaka tupo wengi,nani kama mama bwana? namshukuru sana mwalimu mama mtolera maana kazi yake ya malezi bora ndio imenifikisha hapa nilipo,tabia nyingine zinakuwa si kwa sababu ya malezi ya mama bali mtu binafsi na makundi aliyopitia.i love my mum mtolera,ahsante sana,sina cha kukulipa kiukweli.love mama
 
Antolee ushuzi wake hapa.. na akijaribu tu ntamtembezea mapanga maniner zke..sioni mapungufu yoyote..though askwambie mtu singe parental si mchezo unaweza ukawa na shida labda ya hela na huna option ya kumuomba mtu mwingine zaidi ya mama na akisema sina ujue imekula kwako..binafsi nimekula good time sana..shule nzuri..maisha mazuri..pocket monie ya kutosha..usafiri safii sasa huyo baba wa nini? sioni hata faida yake maana hakija haribika kitu..!

ndugu yangu andres batta kwanza pole sana kwa kulelewa na mzazi mmoja ingawa baba yupo. Najua inakuuma sana kwani kuna vitu ulitamani uvipate na pengine Mungu alikusudia uwe navyo ila kwakuwa baba alikosa uwajibikaji juu yako basi amekufanya usivipate. Kweli nakupa pole ila pia siyo vya msingi sana manake avijuaye ni Mungu pekee.

Naomba sana ndugu yangu na wala sitaki kuinglia personal life yako hata kidogo and please have mercy on me nisikilize kwa hili.
Don't dare kulumbana au kumtukana au hata kumpiga baba yako kwa kosa la kutokuwajibika juu yako. kamwe nakuomba usifanye hayo. Nauona uchungu ulioko moyoni mwako manake najua jinsi alivyokuumiza sana ila maisha hayako hivyo kaka, kwenye maisha huwa siku zote kinachoangaliwa na Mungu ni hiki " wewe unapaswa ufanye nini juu ya mtu mwingine na wala haangalii huyu mtu alikufanyia nini wewe". Alikulea ama hakukulea hilo ni juu yake na Mungu wake wewe kama mtoto chukulia kawaida wala usijaribu kugombana naye siku akikwambia kuwa yeye ni baba na anataka kitu fulan toka kwako, kama huna amani ya kumpa usimjibu kijeuri wala nini tulia kimya au mwambaie mambo siyo mazuri basi.

Najua mtoa mada alitaka kutunyesha jinsi ambavyo wazazi wa kiume wanavyopanda chuki kwenye nafsi za watoto pale wanapokataa kuwalea. jambo hili ni ukweli usiopingika ila mimi siungi mkono chuki hii iendelee manake unayomambo mengi sana ambayo unataka Mungu akutendee so ukiweka hasira na chuki utajikwamishia mwenyewe.

Nakuomba sana nisamehe manake najua nimeharibu hata siku yako mpendwa kaka yangu ila pia nimalizie kwa kumpongeza mwanamke mwenzangu kwa kukulea mpaka hapa ulipofikia abarikiwe sana.
 
Last edited by a moderator:
Sijui tunaelekea wapi ndugu zangu,maana naona zimeanza thread za kujadili watoto wanaolelewa na mzazi mmoja naona mwishoe watakuja kunyanyapaliwa. Mwingine aseme sitaoa mtoto alielelewa na mama peke yake kwa kuwa wanafundishwa vibaya. Hao watoto hawajapenda ni sisi wazazi ndio tuliosababisha yote hayo,sasa kwanini waadhibike kwa makosa yetu???!!!! Mtoto anaweza kulelewa na both parents and still akawa kitu cha ajabu. Hebu tumuweke Mungu mbele kwenye malezi ya watoto na si kuanza kushupalia mambo ya ajabu.
We have a long way to go my people!


nakubaliana na wewe kabisa
Tusianze kusema mtoto aliyelelewa na mzazi mmoja ana hili wa lile au atakuwa na tabia hizi au zile
tabia ni mtu mwenyewe na ni makundi aliyokutana nayo au anayokaa nayo au kushirikiana nayo wala haina muunganiko na malezi yake kwa baba na mama au ya kulelewa na single parent. Ni jambo la kumuomba sana Mungu kwenye issue ya malezi ya watoto maana mtoto anaweza kuharibika hata akiwa na malezi ya wazazi wote wawili.
Na vile vile unaweza ukawa na wazazi wote wawili ila ukajikuta kama vile una mzazi mmoja kutokana na upande mmoja kutojihusisha kabisa na malezi ya mttoto
Tumuombe Mungu sana atujalie busara na hekima na ukaribu na watoto wetu kuweza kuwalea katika malezi ambayo yana uwepo wa Mungu na watoto wakue wakijua kuwa kuna Mungu
Haya ya kusema sijui malezi ya kulelewa na mzazi mmoja yana hili na lile tuachene nayo kabisa
Wapo waliolelewa na mzazi mmoja na wako vizuri sana na wana maendeleo mazuri sana na wapo ambao walilelewa na wazazi wote ila ni balaa
 
mtoa mada huu uzi umeniumiza sana. yaani siku yote nitajikuta nawaza haya. but nafurah sana kuona kuwa wanawake wenzangu wamefanya kazi kwa watoto wo hadi kuwafikisha hapa walipo.

MAMA NI MAMA TU. NA NDIYE MZAZI WA KWELI KWA MTOTO.

Ee Mungu bariki kazi za akina mama wote, wape hekima ujasiri na nguvu ya kustahimili manyanyaso wanayoyapata kwa wenzao akina baba. Panda hekima na busara ya kimungu katika mioyo yao ili wawalee watoto wao katika hekima na kimo wakikupendeza wewe na wanadamu pia.

AMEN!
 
  • Thanks
Reactions: LD
Antolee ushuzi wake hapa.. na akijaribu tu ntamtembezea mapanga maniner zke..sioni mapungufu yoyote..though askwambie mtu singe parental si mchezo unaweza ukawa na shida labda ya hela na huna option ya kumuomba mtu mwingine zaidi ya mama na akisema sina ujue imekula kwako..binafsi nimekula good time sana..shule nzuri..maisha mazuri..pocket monie ya kutosha..usafiri safii sasa huyo baba wa nini? sioni hata faida yake maana hakija haribika kitu..!

Mkuu samahani kama nitakaloongea litakuudhi
Ila napenda sana kukuomba na nanua wewe ni muumini na unajua uwepo wa Mungu katika maisha yako
Najua ni jambo baya sana alilotenda huyo ambaye ni baba yako kutokuwa karibu na wewe au kujua au kushiriki katika malezi yako
Ila naomba nikuombe sana watu wanasema mkono ukinyewa na mtoto huukati ule mkono ila unaufuta na kuuosha na maji na unaendelea na mambo mengine
Limekwishatokea maishani mwako na baba yako kutokuwa karibu na yeye ila nikuombe tena samahani sana msamehe na mpe nafasi ile ya kuwa baba yako japo kumuona na kujua kuwa huyu ndie baba yangu yatosha
Inatosha kumjua ila usimpe nafasi ya kukupangia lolote la maisha yako maana kwa sasa naamini una mipango yako na una mambo yako umekwishajiwekea ya maendeleo yako
Mpe nafasi, msamehe kwa makosa yake na muombee Mungu hata watoto wake wasiwe kama yeye kuwakataa watoto wao
Msamehe na mwachie Mungu ampe kile anachostahili ila usichukue nafasi ya kuweka kisasi moyoni mwako kwa ajili ya yale aliyokutendea
Maandiko yanasema mwachie Mungu kulipa kisasi na usilipize kisasi kwa mtu yoyote
Samahani sana kama nitaharibu siku yako
 
ndugu yangu andres batta kwanza pole sana kwa kulelewa na mzazi mmoja ingawa baba yupo. Najua inakuuma sana kwani kuna vitu ulitamani uvipate na pengine Mungu alikusudia uwe navyo ila kwakuwa baba alikosa uwajibikaji juu yako basi amekufanya usivipate. Kweli nakupa pole ila pia siyo vya msingi sana manake avijuaye ni Mungu pekee.

Naomba sana ndugu yangu na wala sitaki kuinglia personal life yako hata kidogo and please have mercy on me nisikilize kwa hili.
Don't dare kulumbana au kumtukana au hata kumpiga baba yako kwa kosa la kutokuwajibika juu yako. kamwe nakuomba usifanye hayo. Nauona uchungu ulioko moyoni mwako manake najua jinsi alivyokuumiza sana ila maisha hayako hivyo kaka, kwenye maisha huwa siku zote kinachoangaliwa na Mungu ni hiki " wewe unapaswa ufanye nini juu ya mtu mwingine na wala haangalii huyu mtu alikufanyia nini wewe". Alikulea ama hakukulea hilo ni juu yake na Mungu wake wewe kama mtoto chukulia kawaida wala usijaribu kugombana naye siku akikwambia kuwa yeye ni baba na anataka kitu fulan toka kwako, kama huna amani ya kumpa usimjibu kijeuri wala nini tulia kimya au mwambaie mambo siyo mazuri basi.

Najua mtoa mada alitaka kutunyesha jinsi ambavyo wazazi wa kiume wanavyopanda chuki kwenye nafsi za watoto pale wanapokataa kuwalea. jambo hili ni ukweli usiopingika ila mimi siungi mkono chuki hii iendelee manake unayomambo mengi sana ambayo unataka Mungu akutendee so ukiweka hasira na chuki utajikwamishia mwenyewe.

Nakuomba sana nisamehe manake najua nimeharibu hata siku yako mpendwa kaka yangu ila pia nimalizie kwa kumpongeza mwanamke mwenzangu kwa kukulea mpaka hapa ulipofikia abarikiwe sana.

Umeongea mengi lakini mi nimepapenda hapo tu..yani huyo baba aniombe hela kwani hata tukipishana bara barani ananijua?? na akithubutu tu ntamzabua mimbata!
 
Kulelewa na mama na baba kama wote wapo hai ni jambo zuri sana then ukute wazazi wanaishi kama marafiki ndani ya nyumba ni jambo la kufurahisha sana uhu ndio mfano niliochukua kwa wazazi wangu wananipa shauku nami nije kumpenda mke wangu na watoto wangu.wakati nipo mdogo nakumbuka baba alikuwa anamsahidia mama kupika kama mama ni mdhaifu hadi sasa hiv kuna wakati baba anaweza andaa meza wakati wa msosi upand wa vinywani na matunda.mwanzo mwisho nilpofurahia maisha ya kulelewa na wazaz wote ni SIKU YA JUMAPILI tunaenda wote church nyumba nzima hadi dada wa kazi watoto wote nyuma ya pick up hilux .duh wacha kabisa ilikuwa rhaaaaa , kama mtoto atalelewa na baba na mama wenye mapenz ya kweli anayomeng ya kujifunza katika kuja kuijenga familia yake.
 
Back
Top Bottom