Ilkham
Member
- Jul 16, 2017
- 16
- 11
Habari za humu,
Serious jamani nahitaji mtu ambaye anauhitaji wa kuwa na mke baada ya kuridhiana, awe anajielewa, asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara, miaka kuanzia 28-34 awe muislam.
Mimi ni binti wa kawaida sana,
Mawasiliano zaid Private Messages.
Tafadhali lakini sio kwa ajili ya majaribio
Karibuni
Serious jamani nahitaji mtu ambaye anauhitaji wa kuwa na mke baada ya kuridhiana, awe anajielewa, asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara, miaka kuanzia 28-34 awe muislam.
Mimi ni binti wa kawaida sana,
Mawasiliano zaid Private Messages.
Tafadhali lakini sio kwa ajili ya majaribio
Karibuni