.Ninauliza tu kwa wale wengi wasio wa Dsm, yaani wanaume na wanawake wa mikoani, Je Mwanaume akikuambia anatokea Dar unapata taswira gani?
Karibu.
Kwamba ni mwanaume wa Dar
Bazazi
.Hawa washikaji wa dar wakoje....??
Naona kuna uovu unapangwa kufanyika hapaHahahaha...kwamba anazabuliwa hadi na manzi wenye niaje hapo tumboni.
Mbibibi unanikimbia halafu unatoa sifa bila kuthibitisha...
Na ww mwanaume wa dar yanakuhusu hayo hapo juuMbibibi unanikimbia halafu unatoa sifa bila kuthibitisha...