Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,406
Nifundishe sasa nianzaje anzaje kukutongoza,
Ushauri kuntu!Maadam ushajua.... Sasa Ili usiachwe... tafuta kazi. Fanya kazi!
Ila ni heri mwanamke akose kazi ila sio mwanaume kukosa kazi!Na wanawake hivyo hivyo. Hapo kwenye mwanaume kuomba hela sitii neno
Sent using Jamii Forums mobile app
SwadaktaMaadam ushajua.... Sasa Ili usiachwe... tafuta kazi. Fanya kazi!
Point hizooPole sana,inaonekana wew n mhanga wa hilo jambo,shukuru amekuacha mapema maana hakufai,mwanaume kama kweli amekupenda na hauna kazi basi yeye anakuajili kwa kukupa biashara ili nawe uchangie kipato cha nyumbani(boss n mmeo),wengne wanapenda wake zao wawe wajasiriamali na sio waajiliwa,utampata mwenye hayo maono keep it up(kizungu nam nikijua),kama umeshindwa kunywa chai kwa sababu amekuacha jizarau
(NGOJA NIMALIZIE CHAI LABDA NIKISHIBA NTAKUSHAURI VINGNE)
Mimi nakaribia kurudi chuo sina kazi bestKatoto kazuri unamaanisha mpaka leo hii bado haujapata kazi?
Maendeleo hayana chama
Sana wakiwa hawana unawasaidia nakuwavumilia ukiwa huna wanakutenga
Nifanyie basi mpango na mimi nipate angalau kikazi ka kujishikiza.Ila ni heri mwanamke akose kazi ila sio mwanaume kukosa kazi!
Ningumu atatokea mtu atakenivumilia mpaka nimalize chuo nisajali hata.Maadam ushajua.... Sasa Ili usiachwe... tafuta kazi. Fanya kazi!
Chuo hapahapa nchini?Mimi nakaribia kurudi chuo sina kazi best
Ndio sio mtu bestSikuhizi inatongozwa kazi sio MTU..
Ndio hapa hapaChuo hapahapa nchini?
Maendeleo hayana chama
Naomba file lake chaapMaadam ushajua.... Sasa Ili usiachwe... tafuta kazi. Fanya kazi!
Fungua PM Basi, na mimi nataka kujua kilichomkimbiza Brother wa hiyari
Kila la kheri mkuu katika masomo yakoNdio hapa hapa