Mtajaribu sana! Slaaa mmemchezea ambaye amekiweka chama pazuri msitegemee kupata jembe tena! Na mwenyekiti wenu aliyejaa tamaa , hadi muanze na kubadili mwenyekiti ndo mtawapata wagombea wazuri! Wote wanaosimama ni kwa interest ya chair wenu!mimi nadhani safali hii mzee angepumzika tujaribu mtu mwingine
Maswala ya ukawa waachie wenyewe. Wewe jiulize kwenu ni yupi?wakati tukiwa tumebakiza miaka michache kuingia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 .
hivi unadhani ni mwanasiasa gani kupitia umoja wa katiba ya wananchi ukawa angefaa kupeperusha bendera ya upinzani
upande wangu nawakubali sana tundu lissu au john heche wangepeperusha bendera je wewe upande wako unadhani ni nani angefaa.
Wakati tukiwa tumebakiza miaka michache kuingia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Hivi unadhani ni mwanasiasa gani kupitia umoja wa katiba ya wananchi ukawa angefaa kupeperusha bendera ya upinzani.
Upande wangu nawakubali sana Tundu Lissu au John Heche wangepeperusha bendera je wewe upande wako unadhani ni nani angefaa.
Fanyeni vikao ndani ya vyama vyenu halafu ndio mlete majina. Mnatupotezea muda. Tunapambana na mengine.Wakati tukiwa tumebakiza miaka michache kuingia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Hivi unadhani ni mwanasiasa gani kupitia umoja wa katiba ya wananchi ukawa angefaa kupeperusha bendera ya upinzani.
Upande wangu nawakubali sana Tundu Lissu au John Heche wangepeperusha bendera je wewe upande wako unadhani ni nani angefaa.
Hakuna MTU mwenye sifa ya kugombea Urais UKAWA labda Dr Slaa arejeshwe. Wengineo labda Utendaji wa Kata ndio wanatoshaWakati tukiwa tumebakiza miaka michache kuingia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Hivi unadhani ni mwanasiasa gani kupitia umoja wa katiba ya wananchi ukawa angefaa kupeperusha bendera ya upinzani.
Upande wangu nawakubali sana Tundu Lissu au John Heche wangepeperusha bendera je wewe upande wako unadhani ni nani angefaa.
Kwabi chadema walimtimua slaa mpaka wamrudishe?? Si aliondoka mwenyewe kwa ushauri wa mke wake baada ya slaa kukubali lowasa awe mgombea urais hku josephine amekataa!! Sasa kma aliona familia ni bora kuliko ukombozi wa taifa twende tukamuite tena wa nni??? Chadema hatuendeshwi na watu hta siku moja aliondoka zitto na slaa na arfi na kabourou n.k ila bado chama kilivuka uchaguzi mkuu salama na kma hakikuvunjika kipindi kike hakitiwahi vunjika mileleunaota
chadema waliobaki wote ni wauata mkumbo, wanaojielewa akina mnyika wako kimya
wamfie Lissu, walishindwa kumfia Slaa??
mrudisheni slaa
Haahhahahaha ccm bhana wakati mwaka juzi tu mlikuwa mnamuita babu na sijui padri mzinifu je ni lini slaa ameacha kuwa padri mzinifu adi leo useme anafaa kugombea urais???Hakuna MTU mwenye sifa ya kugombea Urais UKAWA labda Dr Slaa arejeshwe. Wengineo labda Utendaji wa Kata ndio wanatosha
hahahaaaa!Wema anafaa.
maalim seif sharif hamadWakati tukiwa tumebakiza miaka michache kuingia katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Hivi unadhani ni mwanasiasa gani kupitia umoja wa katiba ya wananchi ukawa angefaa kupeperusha bendera ya upinzani.
Upande wangu nawakubali sana Tundu Lissu au John Heche wangepeperusha bendera je wewe upande wako unadhani ni nani angefaa.
Mteueni Wema Sepetu agombee!! Mtashinda kwa 89%!! Peoples..,....,..!Haahhahahaha ccm bhana wakati mwaka juzi tu mlikuwa mnamuita babu na sijui padri mzinifu je ni lini slaa ameacha kuwa padri mzinifu adi leo useme anafaa kugombea urais???