Mwanasiasa mpe fedha au madaraka

Administer

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
930
1,408
Ukitaka kujua msimamo wa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote apate majaribu kwanza.Hata mimi ninayeandika ukitaka kujua msimamo wangu katika jambo fulani nipe majaribu.

Sijui ni Tanzania tu au na kwingineko haya yanatokea.Unaweza kumsikiliza mwanasiasa fulani kwa misimamo yake,ukajiridhisha kweli huyu ana msimamo. Anaweza kuwa ni mpinga rushwa mkubwa na mnyenyekevu mkubwa katika chama na viongozi wake. Akipata majaribu anashiriki katika rushwa, anahamia kwenye chama ambacho kila siku alikua nahubiri ni chama cha watenda maovu.

Majaribu yenyewe ninayozungumzia hasa fedha au madaraka .Wanasiasa wengi wapo kwenye siasa kwasababu ya matumbo yao. Ukimsikia akisema tupo kwa ajili ya kuwatetea au kulinda maslahi ya watanzania uyue mtanzania wa kwanza ni yeye na familia yake
 
Siasa ni ajira kama zilivyo ajira nyingine. Usitegemee makubwa kutoka kwa wanasiasa. Chagua mwanasiasa atakayelinda maslahi yako. Ukiona hakuna nenda wewe kagombee.

Maendeleo yanayoletwa na mwanasiasa ni kwa lengo la kupata kura na kula kwa awamu nyingine. Akishiba na kusaza hawezi kamwe kumsikiliza mtu. Pia mwenye njaa sana sharti ashibe yeye na familia yake, wengine hadi ukoo ndio kidogo awafikirie wengine.

Uongozi ni karama. Sio kila mwanasiasa ni kiongozi.
 
Si mwanasiasa tu hata mkeo tabia yake halisi utaijua siku akishapata pesa, iwe pesheni au hata kama ni pesa ya mgawo wa urithi kwao.
 
Ukitaka kujua msimamo wa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote apate majaribu kwanza.Hata mimi ninayeandika ukitaka kujua msimamo wangu katika jambo fulani nipe majaribu.

Sijui ni Tanzania tu au na kwingineko haya yanatokea.Unaweza kumsikiliza mwanasiasa fulani kwa misimamo yake,ukajiridhisha kweli huyu ana msimamo. Anaweza kuwa ni mpinga rushwa mkubwa na mnyenyekevu mkubwa katika chama na viongozi wake. Akipata majaribu anashiriki katika rushwa, anahamia kwenye chama ambacho kila siku alikua nahubiri ni chama cha watenda maovu.

Majaribu yenyewe ninayozungumzia hasa fedha au madaraka .Wanasiasa wengi wapo kwenye siasa kwasababu ya matumbo yao. Ukimsikia akisema tupo kwa ajili ya kuwatetea au kulinda maslahi ya watanzania uyue mtanzania wa kwanza ni yeye na familia yake
Wanasiasa hata ukiwapa mbunye Wana change mind completely
 
Hata Tundu Lissu nae tusimuamini?
Ukitaka kujua msimamo wa mwanasiasa au mtu mwingine yeyote apate majaribu kwanza.Hata mimi ninayeandika ukitaka kujua msimamo wangu katika jambo fulani nipe majaribu.

Sijui ni Tanzania tu au na kwingineko haya yanatokea.Unaweza kumsikiliza mwanasiasa fulani kwa misimamo yake,ukajiridhisha kweli huyu ana msimamo. Anaweza kuwa ni mpinga rushwa mkubwa na mnyenyekevu mkubwa katika chama na viongozi wake. Akipata majaribu anashiriki katika rushwa, anahamia kwenye chama ambacho kila siku alikua nahubiri ni chama cha watenda maovu.

Majaribu yenyewe ninayozungumzia hasa fedha au madaraka .Wanasiasa wengi wapo kwenye siasa kwasababu ya matumbo yao. Ukimsikia akisema tupo kwa ajili ya kuwatetea au kulinda maslahi ya watanzania uyue mtanzania wa kwanza ni yeye na familia yake
Uko sahihi
 
Siasa ni ajira kama zilivyo ajira nyingine. Usitegemee makubwa kutoka kwa wanasiasa. Chagua mwanasiasa atakayelinda maslahi yako. Ukiona hakuna nenda wewe kagombee.

Maendeleo yanayoletwa na mwanasiasa ni kwa lengo la kupata kura na kula kwa awamu nyingine. Akishiba na kusaza hawezi kamwe kumsikiliza mtu. Pia mwenye njaa sana sharti ashibe yeye na familia yake, wengine hadi ukoo ndio kidogo awafikirie wengine.

Uongozi ni karama. Sio kila mwanasiasa ni kiongozi.
👊👊
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom