Mathias Raymond Nyakapala
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,182
- 1,490
Habari wakuu kama Kichwa cha Habari kinavyojieleza hapo juu ni mwanasiasa gani aliyekushangaza zaidi kuanzia mwaka wa uchaguzi mkuu mpaka leo kwa ndani ya Nchi yetu lakini hata kwa Nje ya Nchi yetu pia itakuwa sawa
Mimi wakwangu kwa ndani ya Nchi ni LIPUMBA
na kwa Nje ya Nchi ni Trump
-Lipumba kwa namna alivyokuwa na maisha ya kujivunjia heshima tena akiwa kama Profesa
-Trump kanishangaza kwa kumuacha Korea Kaskazini bila kumpiga mpaka leo wakati sababu alikuwanazo zote!
Naomba kuwasilisha
Mimi wakwangu kwa ndani ya Nchi ni LIPUMBA
na kwa Nje ya Nchi ni Trump
-Lipumba kwa namna alivyokuwa na maisha ya kujivunjia heshima tena akiwa kama Profesa
-Trump kanishangaza kwa kumuacha Korea Kaskazini bila kumpiga mpaka leo wakati sababu alikuwanazo zote!
Naomba kuwasilisha