johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,872
Tunakumbushana tu
Hii ilitokea kwa Nelson Mandela.
Ikatokea kwa maalim Seif
Imetokea Zambia
Na labda itatokea kwingineko duniani.
Wanasiasa wanaohubiri Upendo na Amani wakiwekwa jela kwa muda mrefu hutengenezewa UHALALI wa wao kukubalika kisiasa bila jasho jingi.
Hii ilitokea kwa Nelson Mandela.
Ikatokea kwa maalim Seif
Imetokea Zambia
Na labda itatokea kwingineko duniani.
Wanasiasa wanaohubiri Upendo na Amani wakiwekwa jela kwa muda mrefu hutengenezewa UHALALI wa wao kukubalika kisiasa bila jasho jingi.