Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Nimeshangazwa na Kauli ya mwanasheria mkuu wa serikali kupinga mchakacho wa kuwa na katiba mpya, ila anatunga hoja ya kuweka viraka kama ilivyozoeleka kusudi uchakachuaji uendelee. Huku ni kudharau madai ya wananchi kwa ajili ya kulinda maslahi binafsi? Kwa nini serikali inaogopa katiba mpya?