kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Hata kama alitoa uroda akapata degree ni aibu kumdhalilisha mkutanoni.wanasiasa wanawadharau wasomi sijui nchi inaelekea wapi.
hata hivyo, kwa sheria za serikali za mitaa, DC si msemaji wa halmashauri, na pia si mwajiri wa wafanyakazi wa halmashauri, hivyo kwenda kutoa maneno ya kudhalilisha , ni kinyume cha sheria