And you think that is gonna do any good to this country? Pathetic.. Mna nini enyi watu..what is wrong with you people?Saaaafi sana hiyo, ma-snitch wote 2020 OUT by any means necessary!
Zito Kabwe, Tundu Lisu & Co. Out!
Hahaha...tumbili bana dah, kila tawi anarukia!Nipo hapa Kigoma Ujiji na habari ya mjini ni tetesi kwamba Kafulila atagombea ubunge kwenye jimbo la Kigoma mjini. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Zitto Kabwe wa ACT wazalendo. Source mimi mwenyewe nikiwa katika ssfari ya kichungaji Ujiji Kigoma!
Pia Zitto abaki hapo hapo kugombea, asihame JimboHilo hata mimi nalipa 85% kwa mazingira ninayoyaona. Ila tuweke kumbukumbu sawa Davidi Kafulila sio mwanasheria .
ukijibiwa nitag mkuuPeter Selukamba alikuwa mwislamu?
Mfa maji haishi kutapatapa...Nipo hapa Kigoma Ujiji na habari ya mjini ni tetesi kwamba Kafulila atagombea ubunge kwenye jimbo la Kigoma mjini. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Zitto Kabwe wa ACT wazalendo. Source mimi mwenyewe nikiwa katika ssfari ya kichungaji Ujiji Kigoma!
Hivi Kafulila ni Mwanasheria?Nipo hapa Kigoma Ujiji na habari ya mjini ni tetesi kwamba Kafulila atagombea ubunge kwenye jimbo la Kigoma mjini. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Zitto Kabwe wa ACT wazalendo. Source mimi mwenyewe nikiwa katika ssfari ya kichungaji Ujiji Kigoma!
Labla atashinda Bangwe Beach akibaliziNilikuwa Kigoma siku nne zilizopita nikifanya Political Analysis. Kafulila HATASHINDA hata afanye uchawi wake kiasi gani.
Bye bye Zitto? Huu ni mpango tu ila atapata aibu kubwa, subiri tu mtajionea wenyeweBye bye Zitto .....
Nipo hapa Kigoma Ujiji na habari ya mjini ni tetesi kwamba Kafulila atagombea ubunge kwenye jimbo la Kigoma mjini. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Zitto Kabwe wa ACT wazalendo. Source mimi mwenyewe nikiwa katika ssfari ya kichungaji Ujiji Kigoma!