Tetesi: Mwanasheria nguli David Kafulila kugombea ubunge Kigoma mjini 2020

Saaaafi sana hiyo, ma-snitch wote 2020 OUT by any means necessary!
Zito Kabwe, Tundu Lisu & Co. Out!
And you think that is gonna do any good to this country? Pathetic.. Mna nini enyi watu..what is wrong with you people?
 
Nipo hapa Kigoma Ujiji na habari ya mjini ni tetesi kwamba Kafulila atagombea ubunge kwenye jimbo la Kigoma mjini. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Zitto Kabwe wa ACT wazalendo. Source mimi mwenyewe nikiwa katika ssfari ya kichungaji Ujiji Kigoma!
Hahaha...tumbili bana dah, kila tawi anarukia!
 
Nipo hapa Kigoma Ujiji na habari ya mjini ni tetesi kwamba Kafulila atagombea ubunge kwenye jimbo la Kigoma mjini. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Zitto Kabwe wa ACT wazalendo. Source mimi mwenyewe nikiwa katika ssfari ya kichungaji Ujiji Kigoma!
Mfa maji haishi kutapatapa...
 
Nipo hapa Kigoma Ujiji na habari ya mjini ni tetesi kwamba Kafulila atagombea ubunge kwenye jimbo la Kigoma mjini. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Zitto Kabwe wa ACT wazalendo. Source mimi mwenyewe nikiwa katika ssfari ya kichungaji Ujiji Kigoma!
Hivi Kafulila ni Mwanasheria?
 
Nipo hapa Kigoma Ujiji na habari ya mjini ni tetesi kwamba Kafulila atagombea ubunge kwenye jimbo la Kigoma mjini. Kwa sasa jimbo hilo linashikiliwa na Zitto Kabwe wa ACT wazalendo. Source mimi mwenyewe nikiwa katika ssfari ya kichungaji Ujiji Kigoma!

Hivi mwnyekiti wao alipopiga stop viongozi wa kuteuliwa kugombea ubunge hukusikia?!
Walishauriwa waridhike na vyeo walivyo navyo.
 
Back
Top Bottom