Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Kumbe alifunga suala la Dowans sasa mbona mahakama gani sijui imelifungua?huyu mtu ananishangaza sana mbona anataka kuwa na mamlaka makubwa hivi si ndo alisema amefunga suala la dowans
sasa na la katiba pia anataka kulifunga?? :teeth:hasira kweli kweli