Kanzastone
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 244
- 355
Inatakiwa kwenye ofisi zoote tangu alipoapishwa Samia kuwe na picha yake Mh. Rais Samia.Pia Rais ali hutubia Baraza jana ukutani ku kiwa na Picha ya JPM. Ni kosa Kubwa!!
Lakini naona kwenye kitengo cha Protocol kuna shida mahali; Samia kupewa pen nyeusi badala ya nyekundu, kuendelea kuonekana picha ya JPM wakati tuna Rais mpya n.k