Makala josee
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 511
- 447
Hana uzuri wowote ni mtoto aliesimuliwaHongera..uko vizuri...mkuu..
Hana uzuri wowote ni mtoto aliesimuliwaHongera..uko vizuri...mkuu..
Makala umefanya nicheke..Hana uzuri wowote ni mtoto aliesimuliwa
Sawa machoMakala umefanya nicheke..
Umesha valia jezi kabisa hapo...
Hata wewe uko vizuri...kupangilia matukio mkuu...
Labda alitaka yeyeIla Paul Bomani pamoja na kuoa mchaga yeye alizikwa Mwanza. Iam sure Mark alichangia kaka yake azikwe Mwanza. Mark najua kabisa angependa azikwe alikozikwa kaka yake. Sema maiti hana sauti.
Marc alikuwa hai,alichangia kusema kaka yake azikwe wapi.Labda alitaka yeye
Ok, ila watu wengi wakiwa na umri mkubwa wengi wao huchagua mpaka waridhi wao.Marc alikuwa hai,alichangia kusema kaka yake azikwe wapi.
Marc alikuwa hai,alichangia kusema kaka yake azikwe wapi.
Issue siyo kuwa mwanasheria,wengi hatiandiki usia uzikwe wapi. Tunaona kama uchuro.Na kwa vile alikua mwanasheria, najua mambo ya kuandika wosia na mambo ya azikwe wapi akitwaliwa atakua aliyaweka sawa mapema.
Victoire wewe ni wa kanda ya ziwa na familia ya karibu na BomaniMarc alikuwa hai,alichangia kusema kaka yake azikwe wapi.
Usimsahau sir kahamaRest In Power Mshua.
Mnapotunanga Wasukuma muwakumbuke hawa washua, the Bomanis, Justice Nyalali, Chief Makwaia etc. Washua wenye heshima zao walioitumikia nchi vizuri sana.
Siyo kuwaangalia hawa wengine kina Bashite na Mzee Baba wake waliokuja mjini na kajamba nani juzi tu.
"Sir" Kahama ni wa Kagera yule.Karagwe kama sijakosea.Usimsahau sir kahama
John Rupia pia,msukuma na mtanzania wa kwanza Tajiri alietoa pesa zake kumsaidia Julius aende Ulaya kuomba uhuru.Rest In Power Mshua.
Mnapotunanga Wasukuma muwakumbuke hawa washua, the Bomanis, Justice Nyalali, Chief Makwaia etc. Washua wenye heshima zao walioitumikia nchi vizuri sana.
Siyo kuwaangalia hawa wengine kina Bashite na Mzee Baba wake waliokuja mjini na kajamba nani juzi tu.
CCM IMECHOKWA
W
Wateule wanampenda ila mimi mwananchi wa kawaida namchukia sana.Kamfukuza kazi ya ualimu baba yangu kisa cheti,walimuajiri vipi?mbona wanafunzi aliokuwa anawafundisha wafaulu kwenda sekondari
Kwani ujui shughuli za siasa zilizuiwa,pia Lisu amewaongezea watz ujasiri wa kusema.
Ila tujiandae kulimia kucha Safari Kama makosa ya 2015 yatajirudia.Hivo visasi sio vya nchi hii Kama watumishi tu wanakomolewa kimakusudi eti walimpigia kura Lowasa 5 yrs back still wanashughulikiwa Hadi sasa,vipi nyie watz mnaojaa Hadi kwenye mikutano ya Lisu,jiandaeni na magunia ya visasi.
Tukirudia Tena kosa tumekwiishaa
Sasa mnahangaika na Nani kujaza wasanii,kutunga Sheria Kandamizi kipindi hiki,kuengua wagombea, kubambika kesiHivi uko hapa Tanzania kweli ? Huyo Lussu wako hata 10% ya kura hatapata
Huyo kati DJ Red?
Wanafananafanana sana.
Thanks bro. Namkumbuka kutoka siku za East Africa FM.Mtoto wake wa kwanza, Heri Bomani nae alikua DJ anaandika hivyo hadi kwa CV yake kwamba ni DJ, DJ Red ndio ilikua urambulisho wake kama sikosei. Ni huyo wa mwanzo kulia. Amewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya KCB akitokea Standard Chartered Bank.