Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
JokaKuu.. nadhani hiyo ya AG kuwa ni mshauri wa sheria wa serikali ni sehemu tu ya majukumu yake. Kuhusu DCI ni kuwa DCI ni sehemu ya Jeshi la Polisi, ni afisa wa Jeshi la Polisi, hivyo ule Ukurugenzi wake unahusiana na kazi za Polisi au uchunguzi unaofanywa na Polisi. Sijui kama kuna sheria tofauti inayosimamia madaraka ya DCI ukiondoa Police Code. Sijawahi kuiona yawezekana kuwa ipo.