Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
😱Mwakikuma (PhD)
😱Mwakikuma (PhD)
Wataanza kubeba makopo na hatimaye watakufaKaMa hawataki kusaidiwa tunafanyaje?
Wako na movement Kalemani anachukua form
Mwacheni Pole Pole aongee maana ndio anajiponya, Pole Pole ana tabia zetu wanawake Ili tupone yaliyo moyoni lazima tuongee sana na kila mtu, Bashiru ndio itamchukua mda kupona maana ina mkula ndani kwa ndani
Aendelee kukaa kimya ili afe kwa sonona iliyoekezwa na dr. MwakikumaDk Bashiru mtasema na kumtungia kila aina ya abunuasi,dk ni mtu ambae hana tamaa anaishi maisha ya kawaida sana,wala msitegemee kumsikia kwenye siasa zenu za maji taka,mnaumia sana kuona yupo kimya,kama mnategemea kumsikia akipiga porojo ilo msahau kabisa.
Unapopishana nao kuwa makini wanaweza kuokota jiwe wakutupie.Kwa hiyo ni kama wehu ama
Kama ni hivyo wafungwe kamba
Mh, Mwakikuma! MmmmMwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.
Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.
Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.
Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Unapopishana nao kuwa makini wanaweza kuokota jiwe wakutupie.
Hayo majina watakua jamaa wa Mbeya au morogoroKama Mwakilimo alizaliwa msimu wa mvua,Mwakisoka kazaliwa enzi za prison inaanzishwa,mwakikuma kazaliwa msimu gani?
Na Mbowe asaidiweje? Maana kutoka kuwa Kiongozi wa Kambi Rasmi Bungeni (KUB) hadi kuwa Gaidi linalosota mahabusu ni hali ya kuhitaji msaada mkubwa wa Kisaikolojia!Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.
Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.
Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.
Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Walitengeneza hali hiyoMwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.
Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.
Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.
Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Peleka swali lako kwa Dr. MwakikumaNa Mbowe asaidiweje? Maaa kutoka kuwa Kiongozi wa Kambi Rasmi Bungeni (KUB) hadi kuwa Gaidi ni hali ya kuhitaji msaada mkubwa wa Kisaikolojia!
Nimem PM.Peleka swali lako kwa Dr. Mwakikuma
Huyo jamaa ameshindwa hata kujiita MWAKIMBOR
Dr. Mwakikuma ana wasiwasi na uhai wao. Wanaweza kuwehuka na kupoteza maishaWaacheni, watanzania wapo zaidi ya 60m wanatosha kuchukua nafasi