The MaskmaN
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 350
- 754
Nimecheka sana hapaKwa kifupi mwanasaikolojia anataka pole pole akae kkmya kama bashiru Ili aseme ana Sonona
Lakin pia Bashiru apayuke kama polepole ili aseme ana "mental disorder"
Nimecheka sana hapaKwa kifupi mwanasaikolojia anataka pole pole akae kkmya kama bashiru Ili aseme ana Sonona
Lakin pia Bashiru apayuke kama polepole ili aseme ana "mental disorder"
Akifanya hivyo, ataonyesha udhaifu.Mnasema?😎😎😎😎😎. Mwombeeni mama amkumbuke. polepole acha avune makelele yake.
Walisahau msemo wa maana ya malipo ni hapa hapa duniani.CCM asili wamewaacha wajifie by natural selection!!!!Inawezekana Pole pole kakata tamaa na anataka kufa tu!!
Kwamba unajaribu kuhoji nani yupo juu kati ya katibu muenezi wa chama tawala la mbunge?.Kuwa mwenezi na kuwa mbunge kupi kuko juu.
Ubunge ni tamanio la kila mtu..mama salma kikwete ameonjeshwa kidg tu...alinogewa na leo ni mbunge wa jimbo la mchinga.
Malecela pamoja na kuwa waziri mkuu na badae kustaafishwa bado alitamani ubunge aendelee kuwa nao, kabla hajadondoshwa na lusinde.
Pindi chana alikuwa balozi wetu pale nairobi majuzi tu..kaachana nao kaja kuwania ubunge wa viti maalumu
polepole kapewa ubunge na aliyempa.kukataliwa kunatoka wapi..
Hatuwezi kupoteza muda na rasilimali kwa ajili ya watu wa wanafiki kama hawa.Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.
Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.
Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.
Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
DahMwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.
Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.
Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.
Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Umeandika ujinga mtupu unadhani hawajui kwamba nothing is permanent including human beings themselvesMwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.
Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.
Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.
Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.
Unaijua nguvu ya rais nchi hii wewe. Rais Ni Mungu wakolakini yoyte hayo mwisho ni 2025
Wengi tu. Dr. Chris Mauki, Dr. Mwakikuma, e.t.chivi Tanzania kuna wanasaikolojia?
Alaumiwe Dr. MwakikumaUkinyamaza sonona , ukiongea rejection disorder. Ninyi waswahili Mungu anawaona mjue!
Amesahau kauli ya Polepole kwamba katubu wa wilaya anaendesha VIEITi. Je mwenezi Taifa anaendesha nini..!Kwamba unajaribu kuhoji nani yupo juu kati ya katibu muenezi wa chama tawala la mbunge?.
Ni vyema ukaendeleza harakati zako huko facebook.
Mwakikuma (PhD)Dah
Umesema mwanasaikolojia anaitwa nani?
Hujui saikolojia wewe. Kama vipi kaonane na Dr. Mwakikuma akusaidie.Umeandika ujinga mtupu unadhani hawajui kwamba nothing is permanent including human beings themselves
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kama hawataki kusaidiwa tunafanyaje?Mwanasaikolojia Dr. Anthony Mwakikuma amesema ukimya wa Dr. Bashiru unasababishwa na sonona baada ya kushushwa ghafla toka cheo na.4 serikalini hadi kuwa mbunge wa kawaida kabisa.
Kwa upande mwingine Mwanasaikolojia huyo amesema kelele za Polepole dhidi ya serikali ya sasa zinasababishwa na tatizo lijulikanalo kama "rejection or denial disorder. Hali hii humpata mtu anayepingana na uhalisia wa mambo.
Anadai Polepole haamini kama aliyemteua na kumpa madaraka makubwa na kofia 2 hayupo tena duniani na kwamba yeye sasa ni mtu wa kuongozwa badala ya kuongoza.
Hivyo mwanasaikolojia huyo ameshauri Dr. Bashiru na Polepole wasaidiwe kwa kupewa tiba ya kisaikolojia ili waondokane na tatizo hilo.