Mwanaridha wa Kenya ajiua baada ya kufumaniwa; kazi kweli kweli

mimi bado nasubilia uchunguzi, mtoa mada anaturusha roho
kuna dalili za kuuwa pia katika ili tukio.
tuwe wapole kwanza
 
wanjish.jpg


R. I . P marehemu...
 
kajamaa pesa zilimzuzua.daily nation ya kenya imeandika na kutoa picha za wanawake wengine wawili wakidai ni wake wa marehemu, mmoja 5 month preg. 24 yrs boy!
 
Kweli kuna mkenya rafiki yangu amenambia pia jamaa alikuwa na wanawake kibao. Na mmoja mama mkwe anasema walishapeleka maari kwao hiyo ndio wanayemtambua. Kwa kifupi mkewe ana wakati mgumu kwani hata mama mkwe inavyoelekea anatolea mimacho hizo mali ndio maana anang'ang'ania mwanae ameuawa. But Kenyans, hata washikaji zake wanaamini ni ajali.

Ila jamaa alikuwa na ela vibaya sana nadhani ndio zilikuwa zinamtia ukichaa. Alilipwa (or ilikuwa alipwe) dola 20 m kama sikosei kwa ku appear tu kwenye marathon Marekani regardless atashinda au la.
 
Back
Top Bottom