Bingwa wa mbio za Marathoni samwel wanjiru amefariki kwa kujiua kutoka gorofa ya kwanza baada ya kufu maniwa na mkewe akiwa na kimada
haabri zaidi zinasema mwanariadha huyo alifika na kimada huyo nyumban mwake na baada ya muda mkewe akaingia na bila kuwa na aibu hata ya kujifungua marehemu huyu akawaachia mlango wazi kama yuko na mkewe ..mkewe alipofungua alikuta wako kitandan kama walivyozaliwa na kuamua kumwambia anafunga mlango na kwenda polisi...habari zaidi zinasema jamaa baada ya kuona isiwe tabu akaamua kuvunja mlango na kujirusha lakini habari za nyuma zinasema bwana huyu alishawahi kukorofishana na mkewe tena kwa swali hili hili la ngono zembe na kufikia kumpiga mlinzi bastola aliekuwa akimsaidia aache kuropokeana na mkewe...kweli za mwizi arobaini
hata hivyo mwanamke huyo bado anashikiliwa na polisi kwa uchunguzi na polisi bado wanaendelea kuchunguza aijajulikana walipofunguliwa mlango walikuwa wameshavunja amri ya sita ama lah......wazinzi mwaka huu imekula kwenu ila jamaa anaonekana alikuwa amelazimishwa huyo mke kwa macho tu anaonekana ni zinga la pb...anyway bwana ametoa sijui nani ametwaa...hilo ndilo swali limebaki mi na wewe...marehemu ameacha mke na katoto kazuri mnachokaona....embu wandugu ukiamua kuwa na familia basi jiheshimu najua mwanzoni kuna kusumbuliwa sana sana lakini ifike waakati waamabien ya mkewangu tamu zaidi mi nimezichoka hiizo zenu easy
Wakati mwingine tunajidanganya na mapenzi kumbe tunakuwa hatuko tayari, kinyume chake unaoa halafu bado unataka vya mtaani, aibuunaoa ya nn wkt haupo tayari psychologically?
Umeongea makorokorokocho. Bbc na wewe ni tofauti.
Nenda mwana kwenda tokomea mwana kutokomea.
Kweli mwaka huu ni mwaka wa cheaters! Na ni kweli dhambi za wanaume zinawafanya waishi muda mfupi ukilinganisha na wakina mama!