ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,703
- 28,241
Ww binti hii mada ipo tofauti sana.....Sisi ni wataalamu wa kuwabambikia kesi za ugaidi wapinzani.
unapenda kulazimisha vitu!!?
Ww binti hii mada ipo tofauti sana.....Sisi ni wataalamu wa kuwabambikia kesi za ugaidi wapinzani.
Bongo angeshawishiwa kujiunga na CCM na kupewa ubunge.Kwenye suala la Diaspora na Dual citizen nakumbuka kuna kipindi lilikua linajadiliwa bungeni wabunge wa chama tawala walikua wanatoa macho kukataa mpaka unashangaa halafu hawana hoja za msingi.
Pia Tanzania hatudhamini vipaji vyetu yaani huyo angekua bongo angekua msindikizaji tu maani ni kichwa cha mwendawazimu
Nilitegemea ningemuona mtanzania hata kwenye masumbwi lakini imekuwa tofauti ki ukweli wizara ya habari na michezo inachakujifunzaHivi wale mnaoangalia Olympics mmeshawaona Watanzania kule Tokyo 2020. Mimi naangalia sana sijamuona hata mbongo mmoja.
Au mnyamwezi mwenzangu.huyu atakuwa ni msukuma ubini unajieleza
Kwaiyo mbio ni za wala burger na pizza tuSasa unashindia ugali na bamia ndiyo ushinde Olimpiki!! Sisi ni wasindikizaji tu.