careenjibebe
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,604
- 1,646
Mie pia nilikua napata nafasi ya tatu hadi ya tano lakin aikumbuki kama ni kwa mapenzi yangu au ni zile fimbo za baba maana baada ya hapo sipendi kusoma kabisa hadi leoinaonekana hiyo tabia ya kufaulu kwa kiasi hicho hajairithi kwako kabisaaa kwa hiyo jitahidi tu kumuelewa