Mwanao anaongoza darasani au alikua anaongoza, nini ulifanya kufanikisha hilo?

Mimi nilikua naongoza kuanzia vidudu hadi olevel lakini high school nikawa nakua wa mwisho unaniweka kundi gani?

Chuo nikawa nikaongoza darasa zima mwaka wa kwanza halafu miaka 2 iliyofuata nikawa naambulia C nakua kundi gani?

Kwenye interview za ajira zote zilizofanya kubwa kubwa nikawa nakua wa kwanza halafu choka mbaya taasisi inapumulia mashine nikawa nakua wa mwisho nakua kundi gani?
 
hello bosses,

Kama mwanao anaongoza darazani angalau nafasi 10 za juu.

je nini ulikifanya kufanikisha hilo?,

mtoto anapata shule nzuri, tuition za kutosha, mda wa kupunzika , homework n.k lkn bado maendeleo yake ya shule sio ya kuridhisha
Tuition zinasaidia Sana lkn lazima mtoto mwenyewe pia awe anajituma katika masomo.
 
Mimi nilikua naongoza kuanzia vidudu hadi olevel lakini high school nikawa nakua wa mwisho unaniweka kundi gani?

Chuo nikawa nikaongoza darasa zima mwaka wa kwanza halafu miaka 2 iliyofuata nikawa naambulia C nakua kundi gani?

Kwenye interview za ajira zote zilizofanya kubwa kubwa nikawa nakua wa kwanza halafu choka mbaya taasisi inapumulia mashine nikawa nakua wa mwisho nakua kundi gani?
Inaonyesha huwa unalewa na matokeo mazuri, hivyo kubweteka.
 
hello bosses,

Kama mwanao anaongoza darazani angalau nafasi 10 za juu.

je nini ulikifanya kufanikisha hilo?,

mtoto anapata shule nzuri, tuition za kutosha, mda wa kupunzika , homework n.k lkn bado maendeleo yake ya shule sio ya kuridhisha
Akili hurithishwa,kama wazazi ni vilaza by nature hata ufanyeje mtoto atakuwa kilaza,so cha kwanza jiangalie wewe na mama mtoto uwezo wenu ulikuwaje enzi zenu.mimi babu yangu mzaa mama alikuwa na masters enzi za miaka ya 60 .watoto na wajukuu zake hakuna hajafika elimu ya juu
 
Mimi nilikua naongoza kuanzia vidudu hadi olevel lakini high school nikawa nakua wa mwisho unaniweka kundi gani?

Chuo nikawa nikaongoza darasa zima mwaka wa kwanza halafu miaka 2 iliyofuata nikawa naambulia C nakua kundi gani?

Kwenye interview za ajira zote zilizofanya kubwa kubwa nikawa nakua wa kwanza halafu choka mbaya taasisi inapumulia mashine nikawa nakua wa mwisho nakua kundi gani?
Umerogwa wewe
 
Ulimpeleka shuleni kumshindanisha na watoto wengine?! Kama angekuwa anafundishwa peke yake darasani ungepimaje maendeleo yake?
Siangalii mtoto amekuwa wa ngapi. Wanaweza kumpanga hata wa mwisho wakipenda.

Huangalia:

1. Maendeleo yake ya kuelewa, muhula huu ukilinganisha na muhula ule, anasonga mbele au anarudi nyuma?

2. Hesabu, Kiingereza na Sayansi. Je anaelewa masomo hayo na kuyapenda?

3. Je, anapenda kwenda shule au shuleni pana mazingira gani ambayo yanamfanya ahofie kwenda?

4. Anapenda kusoma vitabu vya hadithi, kuangalia muvi za kitoto, na kucheza atokapo shule?

Karibu.
 
Akili hurithishwa,kama wazazi ni vilaza by nature hata ufanyeje mtoto atakuwa kilaza,so cha kwanza jiangalie wewe na mama mtoto uwezo wenu ulikuwaje enzi zenu.mimi babu yangu mzaa mama alikuwa na masters enzi za miaka ya 60 .watoto na wajukuu zake hakuna hajafika elimu ya juu
Kufika elimu ya juu siyo kwamba ndiyo ulikuwa na akili sana hapana
Umesoma shule gani?
mzazi wako alikuwa anatambua umuhimu wa elimu kiasi gani?


Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Mie hata simfatilii na sinaga huo muda kabisa ila ndo hivo wa kwanza au wapili akishika watatu atarudi nyumban na kilio halaf m namshangaa sa unalia nini?
hahahaha umeua sanaaa, unamshangaa analia nini ama kweli ww kiboko?? daaah wazazi wengine mmepinda sanaaa
 
Siangalii mtoto amekuwa wa ngapi. Wanaweza kumpanga hata wa mwisho wakipenda.

Huangalia:

1. Maendeleo yake ya kuelewa, muhula huu ukilinganisha na muhula ule, anasonga mbele au anarudi nyuma?

2. Hesabu, Kiingereza na Sayansi. Je anaelewa masomo hayo na kuyapenda?

3. Je, anapenda kwenda shule au shuleni pana mazingira gani ambayo yanamfanya ahofie kwenda?

4. Anapenda kusoma vitabu vya hadithi, kuangalia muvi za kitoto, na kucheza atokapo shule?

Karibu.
Hapa unakuwa umemtengenezea mazingira mazuri ya kujitegemea huko ukubwani.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom