Muvi za kitoto ni zipi? Zile katuni zs wazungu? Zs ku fanya watoto kuwa wajinga?
Mtoa hoja anatutaka sisi wenye watoto wanaocheza kwenye top ten tumpe mbinu... Sasa hiyo 72 inatoka wapi?Japo umeiweka kama utani, ni kwamba huyu mwamba nafasi yake ni ya 72 kati ya watoto 100…just in case..
We jamaa mafuta sanaNashukuru hata mimi mwanangu yupo kwenye topu teni, alikuwa wa 8 kati wa wanafunzi 11. Ninachofanya ili asitoke kwenye topu teni ni kumsisitiza asome. Asandi sana
Hilo ndio swala la muhimu, mdogo wangu alikua anashika nafas ya kwanza kwanzia darasa la 1 had la 3 kati ya wanafunzi 80 darasani ila alivyo hamishwa shule akaanza kuwa wa 13+ kat ya watoto 40 hajawahi kuwa ndan ya top 10
Lakn uwezo huo huo alio nao akirudishw kule alipotoka atawaburuza tena inategemeana anaoshindana nao wana uwezo kiasi gani
Mie pia nilikua napata nafasi ya tatu hadi ya tano lakin aikumbuki kama ni kwa mapenzi yangu au ni zile fimbo za baba maana baada ya hapo sipendi kusoma kabisa hadi leo
Safari hii me nimekuwa na muda aisee..Tatizo muda