kivava
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 5,772
- 4,921
Kama unaenda hospital ya Mwananyamala kufuata unafuu wa serikali fikiria tena.Leo nimeenda mambo ni hivi. Kujiandikisha/ kadi 6000, Ultra sound 15000. Maabara kipimo cha damu,......38000- hakuna risiti. Dawa za kuanzia 10000- hakuna risiti dawa hizo zinauzwa mtaani kwangu 2500- nimejua baadae
Swali kunatofauti ganu na hospital za binafsi?
Kwa nini maabara na famasi hawatoi risiti na wanawachiwa kudai bei kwa kuangalia sura"
Hospitaali inafanya biashara ya dawa?
Swali kunatofauti ganu na hospital za binafsi?
Kwa nini maabara na famasi hawatoi risiti na wanawachiwa kudai bei kwa kuangalia sura"
Hospitaali inafanya biashara ya dawa?