Mwanangu wa miaka 9 amekutwa na Virusi vya UKIMWI, sijui amevitoa wapi?

Upo uwezekano kuwa aliambukizwa gonjwa hilo zamani , kuna kipindi cha mpito tangia mtu kuambukizwa virusi hivyo hadi kuwa ugonjwa kamili ( Transformation from HIV to AIDS ). Pengine Dada aliyekuwa anamlea hapo awali kama miaka 2 ama 3 iliyopita alikuwa anashirikiana naye vitu kama mswaki , nyembe nk na iwapo huyo dada alikuwa na maambukizi kuna uwezekano ndiye aliyemwambukiza . Hivyo hao uliowapima kipindi hiki na wote ikaonekana ni wazima siyo wahusika . Ama fuatilia marafiki zake shuleni
All in all jipe nguvu na ujasiri ili umwanzishie dawa , japokuwa kufuatilia pia ni muhimu ili kuwaepusha wengine
Pole sana mpendwa







Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
 
Hii ya saluni ndio kila kukicha naiwaza,, siku nikipima nikakuta nna ngoma basi 99% saluni ndio itakuwa imehusika.
Kama una uelewa usiruhusu kinyoz akunyoe bila ya kuisafisha mashine. Inatakiwa aisafishe kwa kutumia methylated spirit ya kutosha na brush pia kwa spirit ya kutosha hii njia inaua vvu na bacteria kwa 100% sio ile njia ya kuweka vifaa kwenye ile sterilizer haifai.
 
Hapana mkuu,miaka tisa ni mtoto mdogo,pia hiv si kwa ngono tu kuna njia nyingi
mkuu ndio maana nimesema inahitaji informal utafiti. kuna story nyingi sana za watoto sio kufanyishwa ngono tu bali hata kufanywa kinyume na maumbile.
yupo dogo mmoja aliwahi kubanwa ikaonekana yule konda wa school bus alikuwa anamfanya, tena dogo yule alikuwa ni wa mwisho kwenye kusambazwa.

sio lzm iwe sababu lkn ni vizuri kutafiti, ili kuwasaidia na wengine. ukaribu na watoto wetu ni kitu cha muhimu sana. wanaweza kukwambia mambo mengi. wengine wanafundishwa hadi uchawi na vitoto vyenzao au mabeki tatu.
 
Nililazwa na binti yangu wa kwanza kwa takribani siku 6 baada kuugua homa (akiharisha na kutapika ) lakini tukaruhusiwa juzi baada ya afya yake kutengemaa(japo amethoofika).

Majibu ya ugonjwa aliokuwa anaumwa yametoka kuwa ni HIV +, tulipatwa na mstuko kwa majibu hayo ilibidi mimi na mke wangu tupime lakini majibu yametoka hatuna maambukizi.

Hatukutosheka na majibu hayo tulienda Consolota na The dream kupima tena wote watatu lakini majibu yale yale sisi wazima ila mtoto ndio Positive.

Tulikaa kujiuliza kavitoa wapi? Ilibidi nisombe nyumba nzima maana nipo mimi, mke wangu, wanangu watatu, msichana wa kazi na bibi yangu nikawapeleka kupima lakini majibu ni yale yale.

Ikabidi tukampime kama aliwahi kubakwa ila alituficha lakini vipimo havioneshi hivyo.

Mpaka dakika hii tunajiuliza amevitoa wapi?

Niko na huzuni sana ndugu zangu.
Pole sana Mkuu, kuna vitu kama kuchangia miswaki na sindano. Lakini pia unaweza kukuta mtoto sio wako unaweza kuonana na DNA test.
 
Ukimwanzishia ART ndio umeharakisha kifo chake...mahospitalini wagonjwa karibia 99% wenye advanced AIDS wapo kwenye ART for years wengi utakuta miaka 5 hadi 10 wakati incubation period ya HIV tunaambiwa ni 10 years ndio mtu anapata AIDS hapo bila kutumia ART lakini uchunguzi wangu binafsi Inaonyesha wagonjwa wenye so called HIV wanakufa mapema baada ya kuanzishiwa ART

My point..ARV kills people While HIV is an innocent
Ushauri wako ni upi mkuu???
 
Pole sana .

Watoto wanamambl mengi sana na miingiliano mingi lkn pia safari yake yamiaka tisa amekutana nakuishi nawatu wengi nambali mbali......kwakweli swali ilo ningumj kupata jibu lake..kwasasa shukru Mungu kwa gumu hilo unalopitia juu ya mwanao.

Zingatia kanuni bora ulizohimizwa juu yake.
 
AIDS is real, HIV is hoax
Acquired Immuno Deficiency Syndrome ni uongo. You cant acquire upungufu wa kinga mwilini. HIV is a hoax na AIDS ambalo ni zao HIV nao ni uongo. Ila UKIMWI ambao kiasili ni upungufu wa kinga mwilini upo na hausababishwi na HIV. Nafikiri umenielewa.
 
Acquired Immuno Deficiency Syndrome ni uongo. You cant acquire upungufu wa kinga mwilini. HIV is a hoax na AIDS ambalo ni zao HIV nao ni uongo. Ila UKIMWI ambao kiasili ni upungufu wa kinga mwilini upo na hausababishwi na HIV. Nafikiri umenielewa.
AIDS ipo mkuu na causes zipo nyingi moja wapo ni malnutrition...HIV/AIDS ndio uongo go & read
 
Naandika huku natetemeka kwa huzuni na uchungu
naelewa jinsi mlivyo sasa hivi poleni sana wazazi, pole kwa baby darling, she is too young to suffer like that,
She needs you guys more than ever plz msimnyanyape wala ndugu zake wasimbague.

Ooh poor innocent soul, wish ningekua hapo nikampa tight hug.

Guess what big bro, the kid will be fine and healthy kama tu mkimuanzishia dozi ya majani ya mlonge na mbegu zake, Mlonge unapandisha cd4 haraka sana na hata kuponesha HIV kikubwa msiuache katika kila diet yake.

Nina ushuhuda wa Mlonge anza sasa utakuja kunambia.

Tengeneza unga wa lishe, utafanya asubuhi unampa kijiko cha chai cha unga wa majani ya mlonge changanya kwenye uji mpe anywe, jioni mpe unga wa mbegu za mlonge kijiko cha chai changanya kwa uji mpe anywe.

Utaleta mrejesho.
Ingekuwa nipo tz Mimi ninao mwingi tu unga ningelimpatia.
 
ARV = Death Trap!
I would therefore strongly recommend the following hereunder:
1) Strictly switch to 'dietary meals' kwa huyo little angel, by maximizing on veges & matunda! Epuka kabsa kumpa junk foods/drinks. Mlo wake uwe ni healthy foods tu.
2) Maji safi & salama is part of the package. Anywe maji ya kutosha kwa siku. Better aianze siku na maji ya uvuguvugu yalokamuliwa limao kiasi, anywe asubuh anapoamka on empty stomach.
3) Apate uji-lishe on daily basis asubuh na usku. Better wekamo kijiko kimoja cha unga wa mlonge. Atumie asali tu (mbichi original) kwenye uji, achana kabsa na sukari za viwandani.
4) Mkingeni na infections mbali mbali, mfano Malaria, typhoid, n.k ili kumuepusha kunywa mavidonge (antibiotics) mara kwa mara.
5) Hakikisha ana furaha muda wote, acheke na kufurah.
Then baada ya miezi mitatu hivi au zaid, kwa kuyazingatia hayo mambo 1 to 5, mpelekeni akapimwe tena hicho kipimo cha h.i.v... YOU WILL BE SURPRISED!
-Kaveli-
 
Ana miaka mingapi ndio muhimu, sa ingine kaambukizwa si kwa ngono bali namna zingine.jukumu lako kubwa sasa mpatie matibabu na mwongozo wa kufuata ili arefushe maisha.
 
Njia za kupata HIV zipo Nyingi sana Mkuu japo watu wengi wanafikiri ni KUDO I DO YOU hapana,kuna:-
1.Blood transfusion
2.Ajali(majeraha damu kugusanana na ya muathrika)
3.Kushare vitu vya ncha kali(Hapa ndio nina wasiwasi),may be mtoto wako aliokota kiwembe chenye HIV akakitumia,akakanyanga sindano yenye HIV,akajikata na bati lenye virus etc Hii ndio naona chance kubwa aliyopatia.
 
Back
Top Bottom