Lukungano
Senior Member
- Apr 13, 2018
- 171
- 107
Pole sana mkuu! Ila siku hizi kuna kesi nyingi sana za watoto kupelekana chooni wawapo shuleni na kumaliza michezo michafu hivyo wazazi tuwe makini,ila nakushauri uchunguze wakati ukiendelea na tiba ya mwanao huenda ukagundua kuna wapuuzi wameanza kumfunza mambo hayo mwanao.